Jinsi hacking ilivyonipa 250,000 tshs leo!!!!!!!!!

mkuu,login kwenye hii site: HackThisSite.org, ukiweza kwel we mkabe
 
Huyu Jamaa sijaona alipojisifia,Zaidi ya Ku'inspire Ma'hackers wengine wa kibongo na kustua wanajiita Ma'security Officer wa IT hapa Bongo. Ni Sawa na Diamond kupost picha Instagram ndani ya Private Jet Trip
 
Sijapata kuona unamhack mtu alafu unamfuata. Ila asante kwa kuongeza siku zangu za kuishi. Ila kumbuka hacker ni muharifu kama waharifu wengine. Unafanya uharifu alafu unakuja jukwaani kujisifu jela inakwita.
 
sijapata kuona unamhack mtu alafu unamfuata. Ila asante kwa kuongeza siku zangu za kuishi. Ila kumbuka hacker ni muharifu kama waharifu wengine. Unafanya uharifu alafu unakuja jukwaani kujisifu jela inakwita.
.
Sio wote....
.
.
 
So how do I start / get training on becoming a hacker?
 
Hongera kwa hizo pesa ulizopata,kuhusu "thread yako ya hacking" kuondolewa walichofanya ni sahihi kwani forum nyingi huwa hawaruhusu topic zinazofundisha hacking.Unaweza ukafundisha kwa nia njema ila watu wakatumia vibaya.
Kuna software ulizitaja last time za kuingia bila password,nilishawahi kuzitumia si vizuri akiweza kuzitumia mtu mwenye nia mabaya kumbuka kuna wengine hawazijui unapozifundisha ,una uhakika gani hawatatumia vibaya?
Kwa hiyo usijisikie vibaya thread yako kutolewa,pia nataka nikutahadharishe hicho ulichofanya kwa kali linux,si unajua ni kosa kisheria?Doing penetration/vulnerability test without the permission of the system owner?
Kama unafuatilia security issue unatakiwa ujue otherwise kuna wengine utaenda badala ya pesa wataita security.
I am just giving you my suggestions,software hizi ukiweza kuzitumia tafuta njia nzuri ya kumake money with them,unabahati hapo ulipoenda inaonekana they know nothing about security issues.
Nakushauri uwe unaenda kama mtu wa kufanya say "Security audit" au "penetration test" waki kupa kazi then,unaonyesha uwezo wako.Remember it is important you get permission to do so.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…