Jinsi gani ya kuwa Data Analyst

Jinsi gani ya kuwa Data Analyst

kingphisher

Senior Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
120
Reaction score
226
Wakuu, moja kati ya passions nilizonazo ni pamoja na kuwa "data analyst ".
Nipo kwenye process ya kumalizia SQL queries course relating to data analytics.
Katika research ambayo nimefanya huko YouTube, wanasa ni lazima nizijue zofuatazo.
1. Sql
2. Advanced excel ikiwemo "pivot table and Vlookup formula, na nyingine nyingi "
3. Visualisation tool. (Power BI au Tableaue.
4. BASICS OF statistical calculations.
Je kuna vingine vya ziada ninazotakiwa kujua ili niwe a good data analyst. ?

Unaweza kuReply kulingana na uzoefu wako wa kazi.
 
Nilianzaga hiyo safari kama mwaka juzi hivi ila mambo yalinizidi nika acha.
Ukiwa unaona hapo unahisi ni vitu vichache tu unatakiwa kujua ila ukiingia ndani ni vingi mno.
1- Excell hii ndio rahisi kuliko zote.
2-SQL hapo ndo shuhuli ina anzi ujue MySQL, Microsoft DataBase, Bado cloud kama Oracle.
3-Python Uwe na Basics nzuri, ili usome Pandas and Numpy Libraries.
3-Uje sasa kwenye data visualization hapo kuna Tableau na PowerBI.
Ukimaliza hapo unakuta tena kuna vingine vingi vinaongezeka njiani as you go.

KAMA UNA MUDA WA KUTOSHA NA CONSISTENCY INAWEZEKANA KABISA.
 
Nilianzaga hiyo safari kama mwaka juzi hivi ila mambo yalinizidi nika acha.
Ukiwa unaona hapo unahisi ni vitu vichache tu unatakiwa kujua ila ukiingia ndani ni vingi mno.
1- Excell hii ndio rahisi kuliko zote.
2-SQL hapo ndo shuhuli ina anzi ujue MySQL, Microsoft DataBase, Bado cloud kama Oracle.
3-Python Uwe na Basics nzuri, ili usome Pandas and Numpy Libraries.
3-Uje sasa kwenye data visualization hapo kuna Tableau na PowerBI.
Ukimaliza hapo unakuta tena kuna vingine vingi vinaongezeka njiani as you go.

KAMA UNA MUDA WA KUTOSHA NA CONSISTENCY INAWEZEKANA KABISA.
asante mkuuu. i have intermediate of codding skills, mysql as well. for now nimeshamaliza mysql, ila bado nimeDedicate two weeks for solving questions. baada ya hapo naenda kwenye excell (japo excel nina basic knowledge)
sante sana
 
asante mkuuu. i have intermediate of codding skills, mysql as well. for now nimeshamaliza mysql, ila bado nimeDedicate two weeks for solving questions. baada ya hapo naenda kwenye excell (japo excel nina basic knowledge)
sante sana
Mkuu hii unasoma online ama kuna physical class?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom