Jinsi gani naweza kupata mkopo wa biashara?

JRT

Member
Mar 12, 2021
5
5
Naomba mwenye ufafanuzi wa namna ya kupata mkopo kuanzia kiwango cha 10m na kuendelea wa biashara na riba yake per one year anisaidie au anipe ufafanuzi ili niweze angalia kama naweza kufanikiwa kuongeza mtaji
 
Unaenda zako tu Benki mfano NMB, unaonana na Afisa Mikopo! Atakupa muongozo wote.

Usisahau Mkopo wa biashara kwa nchi yetu, ni lazima uwe na leseni ya biashara, tin number na dhamana ya mkopo (mali isiyo hamishika! Mfano nyumba, kiwanja chenye hati, nk.)
 
  • Thanks
Reactions: JRT
Unaenda zako tu Benki mfano NMB, unaonana na Afisa Mikopo! Atakupa muongozo wote.

Usisahau Mkopo wa biashara kwa nchi yetu, ni lazima uwe na leseni ya biashara, tin number na dhamana ya mkopo (mali isiyo hamishika! Mfano nyumba, kiwanja chenye hati, nk.)
Je? Ikiwa sina lesseni ya biashara ila dhamana ninayo naweza kupata mkopo
 
Je? Ikiwa sina lesseni ya biashara ila dhamana ninayo naweza kupata mkopo
1)Uwe na biashara ambayo tayari inafanyika
2)uwe na leseni ya biashara ambayo unaombea mkopo.
3)Dhamana ambayo haihamishiki, Mfano kiwanja chenye hati miliki kutoka wizara ya ardhi, Nyumba pia. Mengine watalujulisha huko.
Kumbuka hela ya mkopo siyo ya kubadilisha mboga na mavazi.
 
Ngoja waje kukupa muongozo...

Mikopo mingi sana ni uwekeze kwanA ndiyo ukopeshwe...
 
1)Uwe na biashara ambayo tayari inafanyika
2)uwe na leseni ya biashara ambayo unaombea mkopo.
3)Dhamana ambayo haihamishiki, Mfano kiwanja chenye hati miliki kutoka wizara ya ardhi, Nyumba pia. Mengine watalujulisha huko.
Kumbuka hela ya mkopo siyo ya kubadilisha mboga na mavazi.
Ni kweli kabisa. Nina uzoefu wa kukopa NMB. Nimekwisha kukopa mara 3 sasa.

Mkopo wa biashara ni lazima biashara iwepo. Na kigezo ni ukubwa wa biashara na Amana yako.

Leseni na utambulisho wa mlipa kodi havikwepeki.
 
Back
Top Bottom