Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,135
- 1,001
Naombeni kufahamishwa endapo kuna dawa au tiba kamili kwa jino nje ya kung'oa.
Ninagalagala sakafuni ile mbaya hino halitulii kabisa awali nilitumia DFP lakini maumivu yamechipuka tena. Ni jino la premolars upande wa juu kushoto, nahisi maumivu makali mpaka mishipa kichwani imenitoka alafu nimevimba vibaya sana, naombeni mnijulishe dawa au tiba halisi au mtaalamu wa meno anisaidie kwa sababu limetoboka na hata nikiswaki hamna damu inayotoka plse msaada ili nikatibiwe maana nateseka balaaa
Ninagalagala sakafuni ile mbaya hino halitulii kabisa awali nilitumia DFP lakini maumivu yamechipuka tena. Ni jino la premolars upande wa juu kushoto, nahisi maumivu makali mpaka mishipa kichwani imenitoka alafu nimevimba vibaya sana, naombeni mnijulishe dawa au tiba halisi au mtaalamu wa meno anisaidie kwa sababu limetoboka na hata nikiswaki hamna damu inayotoka plse msaada ili nikatibiwe maana nateseka balaaa