Jino lako linakusumbua!

Jino lako linakusumbua!

ww huumwi unapat nafac hat ya kutupia vibonzo km hv

Wengine Utani au Ukomedi Upo Damuni Na Hata Kama Tunaumwa Lakini Vionjo Vya Utani Huwa Havitutoki. Usijali Hivyo Vibonzo Vyangu Mkuu Bali Ushauri Wako Wa Nini Nikifanye Kuokoa Hali Yangu Hii Ya Maumivu Haya Makali Niyapatayo. Naumwa Jamani Wana JF!
 
Na dawa ya kichwa ni kukata kichwa

Ubarikiwe Kwa Hii Tiba Yako Uliyonipa Na Leo Nashindwa Hata Kuwaiteni POPOMA Kwani Mnaweza Mkanisusia Kunipa Tiba au Hata Mkanipa Tiba Siyo Nikanywa Na Nikajifia Zangu Kabla Hata Ya Kumuona John Magufuli au Samuel Sitta au Profesa Mark Mwandosya Na Profesa Sospeter Muhongo Mmoja Wapo Wakipitishwa Rasmi Leo Na CCM Katika Zile 5 Bora Kisha Jumamosi Wakabakishwa Samuel Sitta, Dr. John Magufuli Na Professor Mark Mwandosya Na Hatimae Tukampata Mmoja Wapo Hapo. Nisaidieni Jamani Na Tiba Ili Nipone Tatizo Langu Hili La Jino Ili Niyashuhudie Hayo Huku Nikiwa Mzima Wa Afya.
 
Ubarikiwe Kwa Hii Tiba Yako Uliyonipa Na Leo Nashindwa Hata Kuwaiteni POPOMA Kwani Mnaweza Mkanisusia Kunipa Tiba au Hata Mkanipa Tiba Siyo Nikanywa Na Nikajifia Zangu Kabla Hata Ya Kumuona John Magufuli au Samuel Sitta au Profesa Mark Mwandosya Na Profesa Sospeter Muhongo Mmoja Wapo Wakipitishwa Rasmi Leo Na CCM Katika Zile 5 Bora Kisha Jumamosi Wakabakishwa Samuel Sitta, Dr. John Magufuli Na Professor Mark Mwandosya Na Hatimae Tukampata Mmoja Wapo Hapo. Nisaidieni Jamani Na Tiba Ili Nipone Tatizo Langu Hili La Jino Ili Niyashuhudie Hayo Huku Nikiwa Mzima Wa Afya.
Kwa ulichoandika Ina maana yule Mzee gonjwa atadondokea pua?...ha ha ha pole kwa kuumwa mkuu..
 
tumia amoxline full dose kwa siku saba lipende lisipende lazima litulie.
 
Kwa ulichoandika Ina maana yule Mzee gonjwa atadondokea pua?...ha ha ha pole kwa kuumwa mkuu..

Keshadondokea Pua Mkuu Kwani Wewe Huoni Tu Waliomponza Na Kumwingiza Chaka Wanavyohangaika Sasa Kutafuta Public Sympathy Kuwa Anaonewa Wakati Ukweli Ameponzwa Na Watu Wawili Ambao Wapo Katika Team Yake Na Wanaotumika Na Maadui Zake Bila Ya Yeye Kujua Na Amekuja Kushtuka Hiki Kitu Jumamosi Iliyopita Ambapo Ilikuwa Ni Too Late Kwake. Namuonea Sana Huruma. Otherwise Akhsante Kwa Kunipa Pole Yako Mkuu, Ubarikiwe Na Tupo Pamoja.
 
tumia amoxline full dose kwa siku saba lipende lisipende lazima litulie.

Ebhana Elungata Kama Ulikuwepo Vile Mkuu Kwani Nimepewa Dawa Hiyo Hiyo Ila Ni Ya Siku 5 Pamoja Na Ile Ya Kusukutua Ongeza Na Diclopa Na Ndiyo Nimetoka Kunywa Muda Si Mrefu Ila Mimi Nina Tatizo La Kutopenda Kunywa Dawa Na Ninaposikia Nafuu Tu Basi Huwa Nazitupilia Mbali ILA Kwa Sasa Heshima Na Adabu Mkuu Nitazinywa C2C ( Mwanzo Mwisho ). Je Kupenda Kuogelea Mno ( Kuingia Chumvini ) Na Kupiga Deki Hakuwezi Pia Kukawa Ni Moja Ya Chanzo Ya Haya Matatizo Yangu Ya Meno Kila Mara Mkuu? Msaada Tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
Dawa ya jino na fizi ni DFP sjui upo mkoa gani. Mimi mwaka jana nilikuwa nilitoe kabisa jino ila hii dawa ikanipa uponyaji. Sasa hivi kila baada ya miezi 6 naitumia kwa usalama wa meno yote.
 
Mwaka jana nilitoa jino bomu ambalo lilikuwa linanitesaa sana, baaada ya kutoa hiloo jino nilivimba mdomo na ule upande ambao nilitoa jino, niliumwa nikaanza kutoka damu lile eneo nililotoa jinoo, bt nikarudi hospital after siku kadhaa nikapona.

Naomba msaada wa JF kuna jino linaniuma tangu juzi, sitaki tena kung'oa jino, kama kuna mtu anajua dawa yoyote plz naomba msaada , ila sitaki kung'oa jino langu.
 
Tafuta hii kitu inaitwa ndulele( sijui kwingine inaitwaje)kata katikati weka kwenye sufuria na maji kiasi pamoja na ndimu chemshsa .Imishachemka ikapoa waeza sukutua kwa mda wa siku utakazopenda.
 
Tafuta hii kitu inaitwa ndulele( sijui kwingine inaitwaje)kata katikati weka kwenye sufuria na maji kiasi pamoja na ndimu chemshsa .Imishachemka ikapoa waeza sukutua kwa mda wa siku utakazopenda.

Asante sanaa mkuu ,, nimejaribu hii ndulele jioni ya leo,,, jino limetuliaaa kabisaaa,, asante sana mkuu umanisaidia sanaa nilikuwa hata sitamani kung'oa jino langu,, ubalikiwe sanaa...
 
Ndulele inapatikana wapi,mi pia ni victim wa meno aisee nmechka kung'oa.
 
mkuu pia nilishawah kupata tatzo kama lako nikatumia DENTAMOL ya vidonge sasa meno yang yako poa wala hayauMi
 
Asante sanaa mkuu ,, nimejaribu hii ndulele jioni ya leo,,, jino limetuliaaa kabisaaa,, asante sana mkuu umanisaidia sanaa nilikuwa hata sitamani kung'oa jino langu,, ubalikiwe sanaa...

Amina mkuu.Mi nloshaitumia sana.Endelea kuitumia hata wiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom