Jinamizi la Libya

Asante kwa uhimizo, kwa hili sitoacha kwani sikuanza leo. Nawe endelea kutukomboa toka kwenye mawazo yetu ya kikoloni!

Mkuu

wapi nimesema una mawazo ya kikoloni?

Isome post vizuri. Nimesema waingereza na wafaransa bado ile colonisation mentality yao haijawaondoka. Bado wanajiona ni watwala. they dont deal with us,Africans as sovereign states in equal terms.

Natumai maelezo haya yatarudisha tabasamu usoni mwako.
 
Mkuu
tunazungumzia concern yako hapa, a nightmare kama ulivyoitaja. "missing" silaha kama ni nightmare, suala hili lingepewa kipaumbele lakini kipaumbele ni gas na mafuta kwa terms zao, terms za US-NATO. na sio hii "nightmare unayoiona wewe au wanavyojidai kuona ni threat.

Gaddfi aliwapelekea kwa terms za serikali ya Libya kupitia shirika la mafuta la Libya.
Hapo ndio nyie mnaojidhania ni "wanamapinduzi" mnapokosea. Yaani kumtetea Gaddafi hata kwa maovu/maozo yake.

Hilo neno 'nightmare' hujaliona lilipoanzia kwenye hii thread? Na ni nani asiejua madhumuni ya US-NATO. Unafikiri ni wewe peke yako ndie ujuaye, siyo?

We can argue until the end of this world but one thing will remain as a fact, and that is: a proliferation of weapons from Libya into neighbouring countries is already happening. If this is not a nightmare for you then we need a redefinition of the word.
 
Mkuu

wapi nimesema una mawazo ya kikoloni?

Isome post vizuri. Nimesema waingereza na wafaransa bado ile colonisation mentality yao haijawaondoka. Bado wanajiona ni watwala. they dont deal with us,Africans as sovereign states in equal terms.

Natumai maelezo haya yatarudisha tabasamu usoni mwako.
Usiwe na wasi wasi, tabasamu langu liko pale pale kwa sababu ninajijua mimi ni nani na msimamo wangu ni upi. Don't read what I wrote ad verbatim!
 
Hapo ndio nyie mnaojidhania ni "wanamapinduzi" mnapokosea. Yaani kumtetea Gaddafi hata kwa maovu/maozo yake.

Hilo neno 'nightmare' hujaliona lilipoanzia kwenye hii thread? Na ni nani asiejua madhumuni ya US-NATO. Unafikiri ni wewe peke yako ndie ujuaye?

We can argue until the end of this world but one thing will remain as a fact, and that is: a proliferation of weapons from Libya into neighbouring countries is already happening. If this is not a nightmare for you then we need a redefinition of the word.

Mkuu
Kama malengo ya US-NATO yanajulikana na kila mtu..sasa hapa tunazungumza nini?
Kama US-NATO wana-create a nightmare halafu wanasema ni threat, a nightmare... hapa wa kumlaumu ni nani?

Kuhusu uanamapinduzi...mimi sijajipa sifa hii, wala hainistahiki..mimi nasema kile kinachokiamini..kama wewe utakitafsiri ni "wanamapinduzi" basi heshima hii inawastahikia watu wanaopigania ukweli na haki.

Unaikumbuka nyimbo..who let the dogs out?
Sasa US-NATO wamewafungulia mbwa halafu wanasema mbwa hawa ni hatari....it is a comedy, not a nightmare.
 
Many African countries did not accept USA's geomilitary ideal (AFRICO) so it is a golden chance for USA to make this happen.(liberalism vs realism) now we can glance the thirsty of capitalism.
 
Naomba nikujibu mstari kwa mstari!
Mkuu
*Kama malengo ya US-NATO yanajulikana na kila mtu..sasa hapa tunazungumza nini?
Sijasema malengo hayo yanajulikana na kila mtu. Nadhani hapa tunazungumzia hiyo habari kama ilivyoandikwa kwenye mtandao wa ABC News

*Kama US-NATO wana-create a nightmare halafu wanasema ni threat, a nightmare... hapa wa kumlaumu ni nani?
Wote hao. US-NATO na Gaddafi mwenyewe!

*Kuhusu uanamapinduzi...mimi sijajipa sifa hii, wala hainistahiki..mimi nasema kile kinachokiamini..kama wewe utakitafsiri ni "wanamapinduzi" basi heshima hii inawastahikia watu wanaopigania ukweli na haki.
OK. Here I detract my allegations/accusations/assumptions

*Unaikumbuka nyimbo..who let the dogs out?
By Baha Men (if I am not mistaken)

*Sasa US-NATO wamewafungulia mbwa halafu wanasema mbwa hawa ni hatari....it is a comedy, not a nightmare.
We can not talk of weapons proliferation as a comedy. It is a serious matter, whoever set it into action. BTW, where is Gaddafi in all this? Is he an innocent part?
 
Many African countries did not accept USA's geomilitary ideal (AFRICO) so it is a golden chance for USA to make this happen.(liberalism vs realism) now we can glance the thirsty of capitalism.
I read you with a pich of salt. You sound kind of sarcastic:=)
 
Back
Top Bottom