Pastor Silla
Senior Member
- Sep 22, 2020
- 162
- 166
Mara nyingi nimesikia watu katika masimulizi yao walipokumbwa na ili za Shetani waliponiambia kwa jina Yesu walipata mpenyo .
Mfamo nakumbuka mwaka ya 2005 nikiwa nimelala ndotoni nilitokea mtu mmoja akiwa amekusudia mabaya juu yangu amenitaiti kweli kweli kila nikikukuruka ananishinda nguvu nilipotamka kwa jina la Yesu niahachie akaniachia nikamshinda.
Naomba na wewe share nasi namna jina la Yesu lilivyoweza kukupa ushindi katika ila zake Shetani.
Asante na karibuni...
Mfamo nakumbuka mwaka ya 2005 nikiwa nimelala ndotoni nilitokea mtu mmoja akiwa amekusudia mabaya juu yangu amenitaiti kweli kweli kila nikikukuruka ananishinda nguvu nilipotamka kwa jina la Yesu niahachie akaniachia nikamshinda.
Naomba na wewe share nasi namna jina la Yesu lilivyoweza kukupa ushindi katika ila zake Shetani.
Asante na karibuni...