wahaya wana utaratibu wa kubatiza miaka.
Mwaka 2011 uliitwa tongana (jutia, ungama, pigania/ikomboe nafsi) labda hili jina lina uhusiano na makosa ya wapigakura na kisha matokeo ya utawala mbovu!
Mwaka 2012 wameubatiza wechonche (jishughlishe, jibidiishe). Labda ujumbe ni kwamba kama mmejutia (tongana) acheni sasa kulalamika sana, jibidiisheni/jishughlisheni zaidi