Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,461
hata mimi bado nina imani na lowassa 100%
Alishinda kura za uteuzi bila kushindana na yeyote!!Lumumba na wazee wa PhD uchwara with no BBC no Dochivelle Lowassa alishinda 2015 na ataendelea kushinda kwani ccm ililaaniwa na Mungu kwa kuwanyima akili na maarifa pamoja wana wa Adam pia kushindwa kupata hata mlo mmoja siku ni laana tosha kwa watu wa ccm na chama chao.