Jina la Edward Lowassa lawa Gumzo Bungeni

Jina la Edward Lowassa lawa Gumzo Bungeni

Kwani wanazidi wale waliokodi ndege na kuzunguka inchi nzima kuwaaminisha kwamba lowasa ni fisadi papa?? tena kwa mda wa miaka 8?
 
Hawazidi wale waliomtukana na kumwita fisadi na kuchafua mzee wa watu eti ni fisadi,wakazunguka inchi nzima kwa helocopta na kumwanika kwenye vyombo vyote vya habari eti ni fiaadi hadi wakamsababishia kukosa urais ndani ya CCM na CHADEMA. Walitamka kwa kumchafua ndani ya miaka 8. hadi inatia uchunguuu.
 
Hao ndio waandishi waliokutana na raising wakashindwa kuuliza maswali ya maana kwani mbunge alihoji inakuwaje gazeti linaandika lowasa hasafishiki ni kukosa uzalendo au machozi ya mamba hiyo no wakati was Richmond baadae gazeti hilohilo linaandika lowasa karibu chadema alisema waandishi hawatakiwi kuwa vigeugeu
 
Wamemtaja kwa lipi, kumbuka hata Chadema wamewahi kumtaja kwa miaka nane mfululizo kwa tuhuma za ufisadi Na wakasema ushaidi wanao......japo mpaka leo wameufyata.
ndio ujue ana mvuto
 
Angetajwa na magazeti ya Burundi ningestuka lakini kama ni haya ya wahariri wanaoshindwa maswali ya kumuuliza Rais hainihangaishi.
soma vizuri alichoandika mleta uzi.
amesema Lowassa ametajwa mara nyingi BUNGENI, sio kwenye magazeti.
 
Jamani ni mara 500 bungeni na siyo kwenye vyombo vya habari.
 
Mratibu wa ukwamishaji msaada wa habari
Kutajwa kwakwe muhimu japo kafeli kwa hilo
 
Back
Top Bottom