Na huyo mmbunge wa ccm kalipwa na nani kumtaja?Waandishi wenyewe wanalipwa ili wamwandike
Na huyo mmbunge wa ccm kalipwa na nani kumtaja?Waandishi wenyewe wanalipwa ili wamwandike
Lowasa jizi sana hili zee jamani sijawahi kuona mtu mwizi kama Lowasa.
ni kweli ni mwizi kwa sababu ya kale ka wimbo katamu pale dodoma. wewe hujui ndo kalitupa nguvu ya kumpokea kwa mikono mia??Lowasa jizi sana hili zee jamani sijawahi kuona mtu mwizi kama Lowasa.
Mbowe alete ushahidi wa mlungula.Mbona hamkumsimamisha kugombea urais kwa sababu hiyo, au mnawaamini sana chadema kuliko ccm yenu?
Mbowe alete ushahidi wa mlungula.Mbona hamkumsimamisha kugombea urais kwa sababu hiyo, au mnawaamini sana chadema kuliko ccm yenu?
Unishindi mm yupo kimya watu wanajing'ata wenyewe yy kimya shikamoo Elnapenda sana siasa za huyu mzee
Hata Mkuu alisema kwenye jubilee ya mkapa kuwa kushika mkono wa Lowassa ni muujiza.Kulitaja tu jina la Lowassa unapata baraka, sasa kwa nini wasilitaje, kuna mtu hapendi kubarikiwa
Inahusiana vipi na swali nililokuuliza?Mbowe alete ushahidi wa mlungula.
[HASHTAG]#mboweletaushahidiwamlungula[/HASHTAG]
Unataka lihusiane?Inahusiana vipi na swali nililokuuliza?
Usiulize maswali ya kipumbavu, au hufahamu logic kwenye mazungumzo?Unataka lihusiane?
[HASHTAG]#mboweletaushahidiwamlungula[/HASHTAG]Usiulize maswali ya kipumbavu, au hufahamu logic kwenye mazungumzo?
Mlimchukulia hatua gani?Kwani kosa liko wapi. Lowasa ni fisadi kulingana na tuhuma za Mbowe, Mnyika na genge lote la Chadema.
Mlimchukulia hatua gani?Kwani kosa liko wapi. Lowasa ni fisadi kulingana na tuhuma za Mbowe, Mnyika na genge lote la Chadema.
[HASHTAG]#Mboweleteushahidi[/HASHTAG].Mlimchukulia hatua gani?
na mheshimiwa aliesababisha tukio alilipwa nadhani kwa tafsiri hiyoWaandishi wenyewe wanalipwa ili wamwandike
Mbona PM hakukanusha kuhonga milioni kumi kumi kwa wabunge? Naibu spika si alikataa PM asijibu madai ya mbowe, wewe unategemea ushahidi wa Mbowe utapelekwa wapi? PM akanushe kwanza ndipo uombe ushahidi kutoka kwa Mbowe.[HASHTAG]#mboweletaushahidiwamlungula[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Mbowetunatakaushahidi[/HASHTAG].Mbona PM hakukanusha kuhonga milioni kumi kumi kwa wabunge? Naibu spika si alikataa PM asijibu madai ya mbowe, wewe unategemea ushahidi wa Mbowe utapelekwa wapi? PM akanushe kwanza ndipo uombe ushahidi kutoka kwa Mbowe.
Tuwaulize CDM mliomtangaza miaka 8 kwamba ni fisadi na mlisema mna ushahidi na kwamba ni heshima kubwa kwa Mungu akizomewa! Sasa mbona mmempokea na hamumpeleki mahakamani?Mlimchukulia hatua gani?