amina mtumishi ..naomba nikuongezee mistari kadhaa..zaburi 121:1_3.nitayainua macho yangu nitazame milima.msaada wangu watoka wapi!.....pia kuna waebrania 4;1_8.lakin sisi hatumo kwa hao warudiao bali kwa wale waliaminio jina la bwana...yohana 6:67 tuondoke twende kwa nani mwanadamu ataondoka lakini mungu tupo naye kila siku.zaburi 50:15 ukaniite siku ya mateso nitakuokoa na wewe utanitukuza..nahumu 1;9 mnawaza nin juu ya bwana yeye atakomesha mateso hayatainuka tena...yesu atusaidie katika kulishika na kulitii neno lake..