Naombeni kueleweshwa kwa wale wajuvi.
Wakati benki ya CRDB inaanzishwa ilikuwa ikitambulika kama Cooperative Rural Development Bank(Benki ya wakulima au benki ya maendeleo kwa wakulima).
Je kwa sasa hivi inaitwaje hasa? Je, ni Cooperative Rural Development Bank Bank?
[Note: Tazama Logo]
Ama mimi ndio sikuelewi au wewe ndio hujaeleweka,Umetaja jina la bank afu bado unauliza jina lake?
Ama ulimaanisha sio bank ya maendelea ya wakulima tena
Kwa vyovyote hujaelewa ninachotaka kukifahamu. Cooperative Rural Development Bank ni CRDB lakini pana maandishi mengine ya "Bank" ndio maana nikasema Tazama Logo!
Ama mimi ndio sikuelewi au wewe ndio hujaeleweka,Umetaja jina la bank afu bado unauliza jina lake?
Ama ulimaanisha sio bank ya maendelea ya wakulima tena
Kwa vyovyote hujaelewa ninachotaka kukifahamu. Cooperative Rural Development Bank ni CRDB lakini pana maandishi mengine ya "Bank" ndio maana nikasema Tazama Logo!
We haujataka kunielewa ndio maana nikakuwekea mfano na pia kama kumbukumbu zangu zipo sahihi hata KCB haitumii tena lile jina la Mwanzo la Kenya Commercial bank ila KCB pekee.
Kwa sasa hiyo CRDB haina kirefu chochote wala maana yoyote.
Ama mimi ndio sikuelewi au wewe ndio hujaeleweka,Umetaja jina la bank afu bado unauliza jina lake?
Ama ulimaanisha sio bank ya maendelea ya wakulima tena
We haujataka kunielewa ndio maana nikakuwekea mfano na pia kama kumbukumbu zangu zipo sahihi hata KCB haitumii tena lile jina la Mwanzo la Kenya Commercial bank ila KCB pekee.
Kwa sasa hiyo CRDB haina kirefu chochote wala maana yoyote.
Ama mimi ndio sikuelewi au wewe ndio hujaeleweka,Umetaja jina la bank afu bado unauliza jina lake?
Ama ulimaanisha sio bank ya maendelea ya wakulima tena
We haujataka kunielewa ndio maana nikakuwekea mfano na pia kama kumbukumbu zangu zipo sahihi hata KCB haitumii tena lile jina la Mwanzo la Kenya Commercial bank ila KCB pekee.
Kwa sasa hiyo CRDB haina kirefu chochote wala maana yoyote.