ally ngomanzito
Member
- Oct 7, 2015
- 86
- 108
Kiukweli nimekaa nikajiuliza Sana,na naomba tushare hili hapa.
JIMBO LA UBUNGO CHADEMA LINAWASHINDWA?
Kwanini nimewaza hivyo!!? mwaka 2010 mlituletea John Mnyika na kutuaminisha ndio mzizi wa fitina wa shida za ubungo,lakini amekaa miaka yake mitano tu nyie wenyewe kwa tathmin zenu za ndani mkaamua ahamie Jimbo la kibamba.
2015 mkatupa Said Kubenea awe mgombea na mwakilishi wa ubungo,huku mkituaminisha tena huyu naye ni suluhisho la maslahi ya ubungo, ambaye naye amekaa miaka mitano tu,kwa tathmini zenu zilezile za ndani mmeona hafai.
2020 mmemleta Boniface Jacob..ambaye naye kabla alikua mayor ubungo,mtu mwenye mamlaka zaidi na maendeleo ya mitaa kuliko mbunge.sasa mnataka tumtume akawakilishe matatizo ambayo alikua na mamlaka ya kuyasolve.
Tafsiri ya haya mabadiliko mnayoyafanya tu ndani ya chama ni kwamba,mnaowateua wanashindwa kutimiza kile wananchi wa ubungo wanachotaka ,na ndio sababu mnajaribu mtu mwingine kila mara..kwa lugha nyepesi mnakiri Jimbo LINAWASHINDWA.
NA KWA MANTIKI HIYO NADHANI ITAKUA SAHIHI WANANCHI WA UBUNGO SAFARI HII WAKAMCHAGUA PROF KITILA MKUMBO WA CCM maana Jimbo limewashindwa CHADEMA.
JIMBO LA UBUNGO CHADEMA LINAWASHINDWA?
Kwanini nimewaza hivyo!!? mwaka 2010 mlituletea John Mnyika na kutuaminisha ndio mzizi wa fitina wa shida za ubungo,lakini amekaa miaka yake mitano tu nyie wenyewe kwa tathmin zenu za ndani mkaamua ahamie Jimbo la kibamba.
2015 mkatupa Said Kubenea awe mgombea na mwakilishi wa ubungo,huku mkituaminisha tena huyu naye ni suluhisho la maslahi ya ubungo, ambaye naye amekaa miaka mitano tu,kwa tathmini zenu zilezile za ndani mmeona hafai.
2020 mmemleta Boniface Jacob..ambaye naye kabla alikua mayor ubungo,mtu mwenye mamlaka zaidi na maendeleo ya mitaa kuliko mbunge.sasa mnataka tumtume akawakilishe matatizo ambayo alikua na mamlaka ya kuyasolve.
Tafsiri ya haya mabadiliko mnayoyafanya tu ndani ya chama ni kwamba,mnaowateua wanashindwa kutimiza kile wananchi wa ubungo wanachotaka ,na ndio sababu mnajaribu mtu mwingine kila mara..kwa lugha nyepesi mnakiri Jimbo LINAWASHINDWA.
NA KWA MANTIKI HIYO NADHANI ITAKUA SAHIHI WANANCHI WA UBUNGO SAFARI HII WAKAMCHAGUA PROF KITILA MKUMBO WA CCM maana Jimbo limewashindwa CHADEMA.