Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 670
- 149
Wilaya ya Siha kwa sasa inaendelea na ujenzi wa majengo ya hospitali ya wilaya hapo Sanya Juu, jengo la wazazi limekamilika na ni la ghorofa moja, jengo la utawala liko katika hatua ya msingi na ni la ghorofa moja; eneo la sakafu juu na chini ni mita za mraba 1420. Nasema haya kwa maana mimi ni mkandarasi hapo.Asiyeamini naomba aende hapo site leo hii utatukuta site. Ila kama mjadala ni nani kaleta hizo pesa ni nani mie huko sipo. Hongera wilaya ya Siha kwa juhudi zenu