Plan B inatakiwa jimbo la Ubungo, siyo Segerea. Nasikia jimbo la Ubungo kesi imekaa vibaya sana kwa Mnyika. Hebu tujadili na kesi hiyo ya Ubungo, tuache kumwogopa Mahanga kiasi hicho. Jamaa akitaka kuchukua ubunge kwa mara ya NNE mwaka 2015, atachukua. Jamaa ni hatari! Ndiyo maana mnamjadili sana. upingeHamtaki awe mbunge miaka 20 hapa Dar es Salaam, lakini atakuwa.