- Could careless yupo wapi cause so far hanizuiii kufanya mambo ya maisha yangu, ninamuonea huruma sana maana kivuli changu kinamtesa sana, otherwise leo nilikuwa UDSM, it was great kukutana na supporters pamoja na fans!
- Kama nilivyosema sisi tupo kwenye kufanya kweli, so hatuogopi FEAR!
Willie @DSM City!
Porojo nyingiiiiiiiiiii.......- Wacha vitisho mkuu!, nikiamua kugombea utakuwa una-deal na baharia, hao mabaharia niliokuwa nao wana familia na ndugu zao huko wote wananijua, kama ni Kipawa nilikuwa once in a while ninachezea timu moja inaitwa Coastal Lion na Baharia Lengwe, so huko ninfahamika, kama ni vingunguti kuna mtuwangu sana Gebo Peter na familia nzima ya Peter tino, Majumba sita nimecheza Black People, wale niliocheza nao wote wapo ninawaona kila nikija huko!
- Kule Ukonga ndio kabisa Disco Blue Sky, walikuwa watu wangu sana na wapo mpaka leo, so relax mkuu wacha vitisho kama ni kuijua Segerea nahisi unahitaji kunyamaza, kama huamini unaweza kupanga siku nikaja uone! Ungekuwepo ile siku ya matembezi ya Kipawa ndio ungeelewa, so relax bro!
Willie @DSM City!
Willie @DSM City!
Acha kumkososa Mhishimiwa Mbunge bana.......Te! he! 'hatuogopi FEAR'! English is vere!!
Mmmmm....:doh:- Kukujua ili iwe nini? Wewe ndiye umesema hata Facebook yangu upo kwa majina ya bandia, mimi sina muda huo maana sihitaji anything from you, zaidi ya kukuonea huruma tu jinsi unavyokimbia kivuli chako!
Willie @DSM City!
Hatupambano mkuu......Hivi ni vijimambo tu vya JF...........Ongeza na FMESWakuu kumbe mmeanza mbali! Naona leo ni Matola na Balatanda dhidi ya @NYC. Sijamuona Waberoya. Hii inanikumbusha uzi fulani ambapo @NYC na Wabe walivyopambana hadi wakaishia kwenye Ban!
Kama umenipata badilika, sijaona tija yako kama mbunge kutoka chama makini, kumbuka sisi wengine tumetumia rasilimali zetu nyingi kuhakikisha Chadema inapata kura nyingi na ndio maana upo Bungeni.Matola,
Asante nimekupata!
Anadai ana nyumba na shamba Kinyerezi................
What a cr@p............A Holy cr@p...
Kila la heri........- Sio hilo tu, nimeishi kule ni my home so ikitokea jimbo lipo wazi ni haki yangu kugombea nikitaka kwa sababu nitakuwa ninakidhi matakwa yote, nina shamba kule pamoja na nyumba, nimekulia kule, ninawajua wananchi wengi sana wajimbo, ninalipia kodi kata, na ninajua matatizo mengi ya jimbo kwani bado ni yale yale toka nikiwa mdogo mapka leo!
So relax bro!
Willie @DSM City!
Te! he! 'hatuogopi FEAR'! English is vere!!
Mkuu nimeona mpambano wa hoja. Naona FMES kachokoza mada kwa makusudi kabisa. Nimemiss Waberoya manake lazima angechangia hapa.Hatupambano mkuu......Hivi ni vijimambo tu vya JF...........Ongeza na FMES
- Sio hilo tu, nimeishi kule ni my home so ikitokea jimbo lipo wazi ni haki yangu kugombea nikitaka kwa sababu nitakuwa ninakidhi matakwa yote, nina shamba kule pamoja na nyumba, nimekulia kule, ninawajua wananchi wengi sana wajimbo, ninalipia kodi kata, na ninajua matatizo mengi ya jimbo kwani bado ni yale yale toka nikiwa mdogo mapka leo!
So relax bro!
Willie @DSM City!
Mkuu nimeona mpambano wa hoja. Naona FMES kachokoza mada kwa makusudi kabisa. Nimemiss Waberoya manake lazima angechangia hapa.
Katika mada kama hizi mimi hukaa kando. Mkuu naona kama PM anakaribia kuhutubia Bunge. Ngoja niwaagize watoto waniletee tangawizi na kiti cha uvivu nisikie anasema nini.
- Sio hilo tu, nimeishi kule ni my home so ikitokea jimbo lipo wazi ni haki yangu kugombea nikitaka kwa sababu nitakuwa ninakidhi matakwa yote, nina shamba kule pamoja na nyumba, nimekulia kule, ninawajua wananchi wengi sana wajimbo, ninalipia kodi kata, na ninajua matatizo mengi ya jimbo kwani bado ni yale yale toka nikiwa mdogo mapka leo!
So relax bro!
Willie @DSM City!
Dar es salaam hakuna Mashamba, kwa sheria za vijiji Dar es salaam vijiji vilishafutwa, kwakuwa wewe mwenzetu si mkazi wa Jiji ili ningependa nikukumbushe uende Wizara ya ardhi otherwise ilo unalodai kama ni shamba utanyang'anywa na wanachi wenye uhitaji wa viwanja watagawiwa viwanja.
Kwenye hili tu peke yake umepoteza umakini thats why unapoambiwa unatakiwa ujifunze current affairs za nyumbani wewe unakuwa mmbishi.
Hivi is it possible kusema kwamba nina shamba @City of New York?
- Mtera ni original home, kwa my grandpa Mzee Kuhodanga, yaani Mzee wa Mvua! So ni home zaidi!
Willie @DSM, City!
Alipata kura 42 eac Pamoja na Mihela yote aliyotumia kwi! Kwi! Kwi !
dah' umeniacha hoi Willy kwa maneno yako haya! Kwa hiyo hata Mtera nafasi ikipatikana utagombea?