Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Mkuu ngoja wajifariji lakni wajipange pia namna ya kuomboleza wakati utakapofika.kama unatumia kichwa kufugia nywele pekee kama ww lazima ushindwe kujitambua
Ndoto zingine ni tamu sana!! Hata ukizisimulia kwa watu unaona raaaha!wenje na chadema yake kwishney....bye bye wenje, mzee wa ushoga
Hasa mtu kama huyu anaeota akiwa maliwato. Ni kuwapakia kiukweli mapaka kielewekeNdoto zingine ni tamu sana!! Hata ukizisimulia kwa watu unaona raaaha!
Unataka kuniambia mbinu hii haiwezi kufanikiwa tena?
View attachment 108498
unakosea sana unaposema wana CCM Mwanza mjini niwachache,usidanganywe na hiyo mihemko ya kisiasa,siasa za Mwanza hazina tofauti Whirlwind
Waambie shida ya nini? Wamlete hata Mkapa maana nadhani sheria inamkataza kugombea tena uraisi sio ubunge halafu watajua Mwanza ni nini. Hapa sio Tunduru au Pangani bwana.Wala si mihemuko km unavyodai shilatu na dialo ni walewale so kwa sasa mwanza hata umulete mwenyekiti wa chama cha ccm taifa asimame hata na mwanachama wa kawaida kabisa wa chadema kwenye jimbo la nyamagana au ilemela lazima mwenyekiti atashindwa labda kura zichakachuliwe
majimbo karibu yote yaliyopo upinzani yatarudi ccm uchaguzi ujao kwa sababu wabunge wa upinzani hawajafanya kitu
"kwani ukichangia pumba" zako bila kutukana unapoteza nini?? au ndio malezi ya chadema hayo
Unataka kuniambia mbinu hii haiwezi kufanikiwa tena?
View attachment 108498
Hivi wewe unaijua mwanza na chadama'? Hata chadema tusimamishe sanamu lazma ipite kuliko kuwachagu ccm hata wakidondoshwa kutoka mbinguni..
Itafanikiwa wapi...Siku hizi hizo khanga na tshirts tunazichukua kwa sana lakini kura CDM......Mkuu kwani umesahau ule usemi maarufu wa "Kula ccm, kura CDM...?"Unataka kuniambia mbinu hii haiwezi kufanikiwa tena?
View attachment 108498
Sasa imethibitika rasmi kuwa Jimbo la Nyamagana jijini mwanza litarudi CCM bila kupepesa macho, taarifa za ndani ya CCM na
Chadema zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Nyamagana ndugu Raphael Shillatu atagombea na anaungwa
mkono sana na wananchi wa jimbo hilo, habari za kina zinaeleza kuwa tayari Mbunge wa Nyamagana amepata taarifa hizo na
ameamua kwenda kugombea Jimbo la Rorya mkoani Mara ambalo nalo Mbunge wake wa sasa Ndugu Lameck Airo
amenukuliwa
mara kadhaa akisema kuwa hatagombea tena Ubunge mwaka 2015 anataka akae atulie asimamie biashara zake. Kwa ujumla,
kwa wale wanaomfahamu ndugu. Raphael Shillatu watakubaliana nami kuwa ni mtu wa watu, mpole na msikivu sana hapa
simpigii debe ila ukweli utabaki kuwa ukweli, Ndugu Wenje ni mzuri kwa maana ya kupigania maslahi ya wananchi wake huyu
kila mmoja anamfahamu na ameona kazi yake, huyu Airo kwa ujumla ameshindwa, ameshindwa kuzungumza bungeni juu ya
matatizo lukuki ya Rorya, Jimbo la Rorya kwa ujumla lina barabara kuu tatu, barabara ya MIKA-KINESI, MIKA-SHILATI, na
MIKA-SONJO au NYANGABHO. Lakini cha kushangaza hazina lami, lami imeishia Utegi hapo, Umeme kidogo upo ila baadhi ya
maeneo kama Utegi, shirati, kowack, buturi na huu umeme ameukuta! ameshindwa kuwasilisha kilio cha wananchi wake
kuwa umeme usogezwe katika maeneo ambayo haujafika kama Kuutoa NYAROMBO na kuupeleka MANILA, MUHARANGO,
NYAMAGARO, NYANGABHO, NA SONJO!! yeye amejitahidi kutoa mabati katika shule mbalimabli jimboni humo, Maji nayo
ameshindwa kujenga hoja bungeni ili serikali iangalie uwezekano wa kupeleka maji, cha ajabu toka aingie Bungeni ameuliza
au kuchangia mara moja tu, maswali mengine amekuwa akimpa mbunge wa tarime Nyambali Nyangwine amsaidie kuuliza.
CCM hii iliyopoteza mvuto katika majiji yote ya Tanzania?Your analysis is completely poor!!!!!