tulia mnyolewe ww, yaliyompata raila na morgan tsavangirai yanakuja kwenu pia.
sisi atuna ndoa na ccm may be cuf
tulia mnyolewe ww, yaliyompata raila na morgan tsavangirai yanakuja kwenu pia.
Wala si mihemuko km unavyodai shilatu na dialo ni walewale so kwa sasa mwanza hata umulete mwenyekiti wa chama cha ccm taifa asimame hata na mwanachama wa kawaida kabisa wa chadema kwenye jimbo la nyamagana au ilemela lazima mwenyekiti atashindwa labda kura zichakachuliwe
Trueeeeeeeeeeee,huyu jamaa,ajui jins mwanza ilivyoooo,mwacheni awepi watu moyo.:kev:Unapoandika vitu vijavyo weka na neno kama mungu akimuweka/akituweka hai hadi hiyo 2015 unajuwaje kama hao wote unaowataja ikiwemo mimi na wewe kama tutafika hiyo 2015
kama unatumia kichwa kufugia nywele pekee kama ww lazima ushindwe kujitambua
wenje na chadema yake kwishney....bye bye wenje, mzee wa ushoga
mkuu mi nipo hapahapa mwanza, nipo mwanza kwa zaidi ya miezi 8 sasa naijua vizuri sana mwanza, any way hapa mimi siyo ccm wala chadema wakuu maana naona watu wamechangia kwa misingi ya vyama vyao badala ya uhalisia, halafu mimi natoka jimbo la rorya la lameck airo na nimezaliwa hapo hapo na kusomea rorya, naijua fika, bado hajafanya kitu, hata kama ana pesa hawezi kujenga barabara za lami kwa pesa zake! Hoja hapa ni kuwa azungumze bungeni tu hizo kero za wananchi sasa serikali itekeleze isitekeleze ni jambo lingine ila cha msingi azisemee bungeni!!
Wale waliokaribu naye wamshauri kuwa angalau awasilishe hoja hizo bungeni ikiwa ni maji, barabara na umeme, mbunge wangu ongea tu bungeni au basi hoja hizo kama unaogopa kuongea wewe mpe mbunge wa tarime akusaidie kuzisemea!! Ni wazi kuwa kwa pesa zako mwenyewe huwezi kujenga barabara za lami! Huwezi kuvuta maji toka sota au kinesi au sonjo au nyangabho na kuyasambaza jimboni humo! Utafilisika!!
Haya ndio maswali ninayokuomba uulize bungeni mara tu bunge litakapoanza:
Mh. Spika, naomba kumuuliza waziri wa ujenzi kuwa, ni lini barabara ya mika-kinesi, mika-shirati, na mika-sonjo zitajengwa kwa kiwango cha lami,
swali la nyongeza, naomba uwahakikishie wananchi wangu rasmi leo kuwa ni kweli bajeti ijayo barabara hizo zitatengewa fedha. Tayari umemaliza kazi yako mbunge wangu kaa.
Hivo hivo kwa maji na umeme!!
Kajifunze kuandika vizuri, kiini cha habari yako mara kinageuka ghafla na kumuongelea Lameck Airo. Mbona sisi tunaoishi hapa mjini hatukijui hicho kitu na huyu Shilatu ndo nani hapa Mwanza? Utamchagua wewe mwenyewe na Maccm wenzio, hebu jipeni moyo hii ndo Mwanza bwana.Sasa imethibitika rasmi kuwa Jimbo la Nyamagana jijini mwanza litarudi CCM bila kupepesa macho, taarifa za ndani ya CCM na
Chadema zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Nyamagana ndugu Raphael Shillatu atagombea na anaungwa
mkono sana na wananchi wa jimbo hilo, habari za kina zinaeleza kuwa tayari Mbunge wa Nyamagana amepata taarifa hizo na
ameamua kwenda kugombea Jimbo la Rorya mkoani Mara ambalo nalo Mbunge wake wa sasa Ndugu Lameck Airo
amenukuliwa
mara kadhaa akisema kuwa hatagombea tena Ubunge mwaka 2015 anataka akae atulie asimamie biashara zake. Kwa ujumla,
kwa wale wanaomfahamu ndugu. Raphael Shillatu watakubaliana nami kuwa ni mtu wa watu, mpole na msikivu sana hapa
simpigii debe ila ukweli utabaki kuwa ukweli, Ndugu Wenje ni mzuri kwa maana ya kupigania maslahi ya wananchi wake huyu
kila mmoja anamfahamu na ameona kazi yake, huyu Airo kwa ujumla ameshindwa, ameshindwa kuzungumza bungeni juu ya
matatizo lukuki ya Rorya, Jimbo la Rorya kwa ujumla lina barabara kuu tatu, barabara ya MIKA-KINESI, MIKA-SHILATI, na
MIKA-SONJO au NYANGABHO. Lakini cha kushangaza hazina lami, lami imeishia Utegi hapo, Umeme kidogo upo ila baadhi ya
maeneo kama Utegi, shirati, kowack, buturi na huu umeme ameukuta! ameshindwa kuwasilisha kilio cha wananchi wake
kuwa umeme usogezwe katika maeneo ambayo haujafika kama Kuutoa NYAROMBO na kuupeleka MANILA, MUHARANGO,
NYAMAGARO, NYANGABHO, NA SONJO!! yeye amejitahidi kutoa mabati katika shule mbalimabli jimboni humo, Maji nayo
ameshindwa kujenga hoja bungeni ili serikali iangalie uwezekano wa kupeleka maji, cha ajabu toka aingie Bungeni ameuliza
au kuchangia mara moja tu, maswali mengine amekuwa akimpa mbunge wa tarime Nyambali Nyangwine amsaidie kuuliza.