Jimbo la Magu ni kama halina mwakilishi Bungeni

LULENGO

Member
Mar 16, 2012
32
1
Ni takribani miaka miwili sasa tangu kufanyika uchaguzi mkuu wa Rais ,mbunge na diwani inchini,lakini huwezi amini Mtanzania, mbunge wa jimbo la Magu mkoani Mwanza CCM hajawahi kuchangia,kutoa mada,kuhoji,wala,kukumbushia mambo mbalimbali yanayohusu wanainchi na wapiga kura wake.kuna ahadi kibao aliahidi faatilia hakuna hata moja walau aliianzisha,ahadi ya ujenzi wa bwawa kubwa la maji kijiji cha Jinjimili,majengo mawili ya madarasa Jinjimili,Mradi wa umeme kutoka JIneri la Pamba Kasori kupita Kabila hadi Mahaha pia bei ya Pamba ilihari yeye ndiye Mwenyekiti wa Board hiyo na pia ujenzi wa Minara ya Simu maeneo mbalimbali ya JIMBO na upelekaji wa Maji mjini Magu. Wapi, Wapi Mbunge hata kuongea tu,hoi kazi kupiga makofi bungeni na kuunga mkono hoja za wengine, Mjadala wa katiba ulikuwa hot sana pale MJENGONI lakini jamaa kamwe hakuongea hata, kana kwamba katiba inayoundwa haiwagusi wakaazi wa JIMBO hilo,Hii ni Hasara nyingine kwa Jimbo la Magu.Ni Muda wa kutafakari uwepo wa Mbunge kama huyo na pia kuitumia fursa hii vizuri wakati ukifika,Siyo Kupokea kanga,sabuni,na vijisenti wakati mhimu kama wa uchaguzi unapofika.Nawasilisha Kamanda Kutoka JINJIMILI.
 
mtoeni kama rais wa Tunisia. kwanini hamkuchagua wa CDM akawashe cheche bungeni? shauri yenu tena nataka alale mwaka mzima ilimkome kuchagua mtu kwa kanga na sukari ya siku moja halafu mnataabika miaka mitano
 
Card yako ya kupigia kura unayo? kama ndivyo basi itunze mwaka 2015 ntakufundisha cha kufanya kuliko huo upuuzi mlioufanya hapo 2010
 
Ni takribani miaka miwili sasa tangu kufanyika uchaguzi mkuu wa Rais ,mbunge na diwani inchini,lakini huwezi amini Mtanzania, mbunge wa jimbo la Magu mkoani Mwanza CCM hajawahi kuchangia,kutoa mada,kuhoji,wala,kukumbushia mambo mbalimbali yanayohusu wanainchi na wapiga kura wake.kuna ahadi kibao aliahidi faatilia hakuna hata moja walau aliianzisha,ahadi ya ujenzi wa bwawa kubwa la maji kijiji cha Jinjimili,majengo mawili ya madarasa Jinjimili,Mradi wa umeme kutoka JIneri la Pamba Kasori kupita Kabila hadi Mahaha pia bei ya Pamba ilihari yeye ndiye Mwenyekiti wa Board hiyo na pia ujenzi wa Minara ya Simu maeneo mbalimbali ya JIMBO na upelekaji wa Maji mjini Magu. Wapi, Wapi Mbunge hata kuongea tu,hoi kazi kupiga makofi bungeni na kuunga mkono hoja za wengine, Mjadala wa katiba ulikuwa hot sana pale MJENGONI lakini jamaa kamwe hakuongea hata, kana kwamba katiba inayoundwa haiwagusi wakaazi wa JIMBO hilo,Hii ni Hasara nyingine kwa Jimbo la Magu.Ni Muda wa kutafakari uwepo wa Mbunge kama huyo na pia kuitumia fursa hii vizuri wakati ukifika,Siyo Kupokea kanga,sabuni,na vijisenti wakati mhimu kama wa uchaguzi unapofika.Nawasilisha Kamanda Kutoka JINJIMILI.

Kweli una hasira, badala ya kuandika Magu umeandika Mgu!
 
Binafsi sijawahi kuyachukulia majimbo yalo wachagua wabunge wao kupitia CCM kama wanao wawakilishi wa kutatua matatizo yao!!!!! na kuwawakilisha wapiga kura wao!!!!
 
Majimbo yote ambayo wagombea wa CCM walipita wananchi toka majimbo hayo hawana wawakilishi bungeni. Mfano jimbo linalopakana na Magu la Bunda utasema wana muwakilishi bungeni? lingine ni jimbo la mtera ni kama halina muwakilishi bungeni. Any way kwa sababu siku zote kuanza upya si ujinga, 2015 itabidi kuanza upya.
 
Back
Top Bottom