Jimbo la Magu, Mwanza

Jimbo la Magu, Mwanza

Kwa NYANDA sikweli mala ya kwanza alili telekeza jimbo,hakuwai kuludi jimboni

Nyanda sikuwahi kuona mchango wake wa maana,jamaa alikuwa kiupigaji zaidi kiasi kwamba aliamini njia nzuri ni kutoa zawadi kwenye kwaya,masalighula,zeze,ndono na mengine,ile kuimba na kumtaja jina tu 30,000/-,ukimsifia zaidi anaongeza tena.......
Lakini kuna mama mmoja alijitahidi kusambaza maji hadi vijijini alipotoka ubunge na maji nayo mpaka leo ni shida....kama magu yenyewe maji hamna wakati ziwa liko pale huku kahama wanatumia maji ya ziwa hilo hilo na wabunge wapo,kanda ya ziwa inabahati mbaya sijui ndiyo tabia zetu hizo,mbunge asikuwa na dira wala mpango wa maendeleo jimboni kwake ndiyo hao hao wanaodumu mda mrefu kama akina Limbu,mwenyekiti wa bodi ya pamba huku mmiliki wa kiwanda cha pamba huku mnategemea awatetee nyie wakulima asiwatetee wenye viwanda wenzake ili wasipate faida ya kupindukia!
 
Unaweza ukawa na degree hata 12 kichwani lakini zikawa hazina maana yoyote kwa jamii inayokuzunguka.Ndugu FESTUS LIMBU kipindi anagombea ubunge kwa mara ya kwanza pale jimboni MAGU watu walikuwa na matumaini makubwa sana kwake mpaka wakampa na ukamanda wa jimbo hilo kipindi MASHISHANGA ni mkuu wa mkoa wa MWANZA.Lakini leo hii mheshimiwa kalitegea kisogo jimbo na hataki hata kwenda kusikiliza kero zao.Binafsi nahisi ameamua kulitoa sadaka hilo jimbo kwa CHADEMA.Kwa ufupi Limbu hataki kusikia kitu CCM Pale MAGU.
Jimbo ameshalikabizisha kwa members wa CHADEMA ndo wanaofanya kazi kama jimbo liko chini yao.

chadema magu wapumbavu kweli hivi mlitegemea tumchague Dr. Laurian Lukona? haya na huyo mpika gongo Ngongoseke mtamsimamisha tena?
 
Mie nadhani ni wabunge wote wa ccm mkoa wa mwanza ni sheedaah. Mtazame Donald Maxi wa Geita. Pamoja na kuwa anaumwa lakini hakuna kitu tangible. Haya Mzee wa escrow pale Sengerema hadi leo maji ni sheeedaaah achilia mbali mengine. Buchosa kwa Tizeba nako kila siku anagombana na kaka yake Adrian (mwenyekiti cdm mkoa). Misungwi na Kwimba hakuna tofauti.

Ukiwatazama wa viti(u) maalum sioni la maana. Miss Bunge Maria Hewa ni hewa kweli..so ni kama ka ugonjwa. Sanasana wamekusanya za chumvi tshirts kofia khanga kuja kugawa. Lets wait n see!
 
chadema magu wapumbavu kweli hivi mlitegemea tumchague Dr. Laurian Lukona? haya na huyo mpika gongo Ngongoseke mtamsimamisha tena?

Kuna kijana mchapa kazi anaitwa Seseja nimesikia anakuja kuikoa Magu katika ahadi hewa na umasikini uliokidhiri. Cha msingi mjue hamchagui mfadhiri bali mnachagua kiongozi iliaweze kuwaongoza katika kutambua fursa zilizopo na namna bora ya kuzitumia.
Ni kijana makini sana. Ngoja nifuatilie nijue kama bado anayo nia hiyo.
 
Back
Top Bottom