Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,657
- 218,145
Hii ni baada ya wananchi kukubali Mabadiliko kwa moyo mweupe kabisa.
Utawala wa kisultani wa jimbo hilo unaenda kuangushwa baada ya hongo ya viberiti, chumvi, Sukari na Ulanzi kugonga mwamba.
Pichani ni wananchi wa Jimbo hilo wakimsikiliza mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA, Patrick Ole Sosopi
Utawala wa kisultani wa jimbo hilo unaenda kuangushwa baada ya hongo ya viberiti, chumvi, Sukari na Ulanzi kugonga mwamba.
Pichani ni wananchi wa Jimbo hilo wakimsikiliza mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA, Patrick Ole Sosopi