JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,274
Merdad Matogolo Kalemani aliyewahi kuwa waziri wa nishati na akawa anapeleka umeme kwa wasitani wa vijiji elfu 2 kila mwaka hivyo kupelekea vijiji zaidi ya elfu 10 kupata umeme ndani ya miaka yake 5 ya uwaziri hivi sasa amelala usingizi wa pono.
Medard Kalemani mbunge wa jimbo la Chato hatetei jimbo lake kwa namna yoyote ile, miradi ya jimbo hili inachafuliwa lakini mbunge huyu yupo kimya! Je ananufaika nini na uchafuzi huo?
Jimbo la Chato lipo kati ya majimbo kumi yenye idadi kubwa ya watu nchini, kutokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 jimbo la Chato lina idadi ya watu zaidi ya laki 585.
Licha ya idadi kubwa ya watu namna hii kuna genge la waandishi wa habari uchwara limeandika kitabu kupinga Chato isiwe na barabara za lami, Hosipitali nzuri, uwanja wa ndege, viwanda, mbuga, etc lakini mbunge wa jimbo Medard Kalemani yupo kimya kujibu upuuzi huu.
Medard Kalemani unataka nani aje atetee jimbo lako?
Medard Kalemani mbunge wa jimbo la Chato hatetei jimbo lake kwa namna yoyote ile, miradi ya jimbo hili inachafuliwa lakini mbunge huyu yupo kimya! Je ananufaika nini na uchafuzi huo?
Jimbo la Chato lipo kati ya majimbo kumi yenye idadi kubwa ya watu nchini, kutokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 jimbo la Chato lina idadi ya watu zaidi ya laki 585.
Licha ya idadi kubwa ya watu namna hii kuna genge la waandishi wa habari uchwara limeandika kitabu kupinga Chato isiwe na barabara za lami, Hosipitali nzuri, uwanja wa ndege, viwanda, mbuga, etc lakini mbunge wa jimbo Medard Kalemani yupo kimya kujibu upuuzi huu.
Medard Kalemani unataka nani aje atetee jimbo lako?