Jimbo la chadema pemba....tume semeni

Tume inasehemu yake ya kulaumiwa, lakini tatizo kubwa ni uroho wa watz wenyewe.
Wagombea wengi wa CHADEMA waliuza majimbo kwa kujitoa dakika za mwisho na wengine ndo kama hao waliuza ushindi.
Tunapaswa tuongeze umakini katika kuwachagua wawakilishi wetu.
CHADEMA inaamini sana nguvu ya umma ndo maana haiwatumi watu toka makao makuu kwenda kugombea majimboni,
Inategemea sana wanachi wa eneo husika washiriki kuwatambua wagombea wa kweli.
 
Chadema iliponzwa na kukosa mtandao nchi nzima.hata sasa sijui mkakati wao upoje kabla ya 2015.miaka 4 kwa mikakati ya uchaguzi ni midogo sana!
Hatuna haja na wapemba kwani sisi 2natakaTanganyika ye2. BRAVO CHADEMA.
 
Mkuu;
Watanzania huchagua mtu, si chama, kwa hiyo inawezekana kabisa!

dah! inawezekana mkuu, lakini CUF kuwa wa mwisho kabisa hii imenitia wasi wasi, na km hii issue ni kweli basi huyo mgombea wa CDM alilipwa pesa nyingi sana.
 
Mkuu Mageuzi Kweli,
Hii inaonyesha dhahiri Mgombea wetu aliuza haki ya wapiga kura kwa ccm

Jamanii hii no record ambayo ipo Tume ya uchaguzi...Sasa wao kama tume hawajaona hata kama ni kuchakachua?? Au ndiyo Faida ya kuweka Vikongwe kuendesha tumee???
 
Ushabiki mwingine bana eti Chadema walishinda Pemba! ungekuwa unazijua siasa za pemba wala usingeweka hizo takwimu.

Jamaa wa Tume ya Uchaguzi wahuni kweli mkikubali hizo halafu wanaweka takwimu za JK alivyoshinda urais mtakubali?
 
Easy tu hiyo mbona wakiibuka wenyewe hapa watakwambia ni typing error, huyo Sitti Ussi Shaibu Hakupata hata kura mmoja.
 
hapa inabidi cdm waje kutupa maelezo. Kama dk slaa hawezi kuja kuongelea hili basi aje mnyika
 
GREAT THINKERS?????????????????///


Pemba na CCM NA CHADEMA wapi na wapi? sijaskia hata udiwani kupata chama chengine badala ya CUF pekeeeeeeeeeeeeeee.


Tafakari kabla.

nimetazama web ya NEC, matokeo yako kama yalivyopostiwa hapo juu. Usichoamini wewe nini?
 
nimeona vijana wa cdm wamelegezwa baada kuletewa data kama kumbe pemba walishinda hapa ndipo naona pimo zuri kumbe wana wahitaji sana wapemba sema kuwa chagua cuf ndio chuki inapoanza. Jamaa kaleta changa la macho
 
Sijui hizi table imeokotwa wapi lakini dhambi hii haiwezi kufanyika hata siku moja kwa Zanzibar mzima na hususan PEMBA!
 
za mwizi 40,ipo siku ya mwizi kujulikana na kupata fedheha kubwa.CHADEMA tunaenda taratibu kwa malengo endelevu,Zanzibar tupo ila kwa wasiona wasubiri siku ya kusikia,pana mkutano mkubwa utafanyika huko na sehemu ambazo hatuna wabunge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom