Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Kufuatia Vifo Vilivyotokea Wakati wa Kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025 nchini Tanzania
Mhashamu Stephano Lameck Musomba OSA, Askofu wa Jimbo Katoliki Bagamoyo Amewaomba na kuwaalika Mapadre, WATAWA, Waamini na Wote wenye Mapenzi Mema Tarehe 11/11/2025 Iwe ni Siku Maalumu ya Kuwaombea Marehemu wote waliofariki Katika Kipindi hiko cha Uchaguzi Mkuu.
Parokia zote za Jimbo la Bagamoyo, Jumuiya za Kitawa na Taasisi za Kanisa zimeombwa kuadhimisha Misa hiyo siku tajwa.
Aidha, Askofu Musomba Ameomba Tarehe 13/11/2025 Siku ya Alhamisi wakati wa kuabudu Ekaristi Takatifu tuweke nia hiyo hiyo ya kuwaombea Marehemu hao na Kuomba Uponyaji kwa wote walioumizwa siku hiyo.
Mwenyezi Mungu awe Faraja kwa Wote, na Marehemu wote Wapumzike kwa Amani.
Mhashamu Stephano Lameck Musomba OSA, Askofu wa Jimbo Katoliki Bagamoyo Amewaomba na kuwaalika Mapadre, WATAWA, Waamini na Wote wenye Mapenzi Mema Tarehe 11/11/2025 Iwe ni Siku Maalumu ya Kuwaombea Marehemu wote waliofariki Katika Kipindi hiko cha Uchaguzi Mkuu.
Parokia zote za Jimbo la Bagamoyo, Jumuiya za Kitawa na Taasisi za Kanisa zimeombwa kuadhimisha Misa hiyo siku tajwa.
Aidha, Askofu Musomba Ameomba Tarehe 13/11/2025 Siku ya Alhamisi wakati wa kuabudu Ekaristi Takatifu tuweke nia hiyo hiyo ya kuwaombea Marehemu hao na Kuomba Uponyaji kwa wote walioumizwa siku hiyo.
Mwenyezi Mungu awe Faraja kwa Wote, na Marehemu wote Wapumzike kwa Amani.