kasuku mtu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 321
- 94
- Thread starter
-
- #41
Oya nimepewa gari niendeshe wana tunampitia shogae na mumewe sinza alafu twende kimala huko....nahisi nakua walu walu.....ndio naingia road kubwa mandera nielekee sinza...yeye anafunga zawadi hapo stationary....
yeye ndio ananipa lift yupo bank hata sijamuuliza na jioni kaniambia twende sehemu kuna party....hivi nataka nitoke kibaruani niende home coz amesema saa moja tunaenda kunasherehe ya kumuaga nduguye anaolewa..
:focus:Wewe unampa lift au yeye anakupa lift?
Wajamen ndio namrudisha kwake akalale....ila na kazi maana nimeenda nae shughurini masho gaze full kunitumbulia jicho kuna jambo naona acha nilale bana asubui kolokoloni.
kweli jimama limekukamata saa tisa hii ndo unarudi kwako?
Habari wajameni!
Hapa maeneo ninapoishi kuna mama limoja hivi linaonesha linanipenda maaana?
Akinikuta pub nakunya vi castle lite vyangu viwili lazima aje akae kwenye meza yangu mala ohoo we mkaka mstaarabu mala mbona siku hizi huonekani story zina noga sada jana nimempeleka hadi kwake mida ya saa tatu usiku akaniambia niingie ndani tumefika sebuleni kamuita house girl akanunue bia nyingine tena....sikua na hofu kwani huyo mdada yupo singo alafu hana mtoto na nyumbani kwake anaishi yeye na house girl tuu amejenga mtaa mmoja na home basi tumekunywa kama nne nne hivi mwenzaku ananiitia chumbani kuona hivyo nikamuaga h/girl naenda dukani sikurudi asubui amenipa lift kituoni kalalamika sana kwanini jana sikumuaga
Nimegundua unapenda sifa za kijinga!hauioni hatari iliyoko mbele yako?unataka kubemendwa wewe!