Miaka ya 90 nilikumbana na mkasa kama wako jimama lenyewe lilikuwa linaanya kazi nasaco kipindi hiko kabla haijaungua pale waterfront kilichofuata nilimkomkomesha kwa kumpiga 0713 mpaka uharo
Hakunitafuta tena na njia akabadilisha nikasikia baadae alihamia mwanza
Haujawa inspired?
Huna lolote na wewe uko interested na huyo mama, mawasiliano yote hayo na ukaenda hadi kwake !
We endelea na mipango yako au unampango wa kumchuna maana vijana wa siku hizi mh, wanaume kama mabinti!
hamna sema tumezoeana kutokana tunakutana sana hapa mtaani me naishi kwa wazazi insu zangu nafanya ndani ya familia ndio najipatia kipato cha kukidhi maisha na bia mbili tatu pa day pub na kitimoto mala moja moja sema yeye jioni anapenda kuja hapa neighbour pub hapa kivulini nampa offer na yeye ananitupiaga mbili tatu...sasa imefikia hata nisipo fika pub kesho yake wahudumu utasikia dada nanihiu jana kaja kakuulizia kanywa bia moja tuu amesepa anadai hamna company yake leo....na ukikutanana nae ananiambia hata nisipo kua na pesa me ninywe tuu
siku nyingine usikimbie. mkubalie halafu piga kote koteHabari wajameni!
Hapa maeneo ninapoishi kuna mama limoja hivi linaonesha linanipenda maaana?
Akinikuta pub nakunya vi castle lite vyangu viwili lazima aje akae kwenye meza yangu mala ohoo we mkaka mstaarabu mala mbona siku hizi huonekani story zina noga sada jana nimempeleka hadi kwake mida ya saa tatu usiku akaniambia niingie ndani tumefika sebuleni kamuita house girl akanunue bia nyingine tena....sikua na hofu kwani huyo mdada yupo singo alafu hana mtoto na nyumbani kwake anaishi yeye na house girl tuu amejenga mtaa mmoja na home basi tumekunywa kama nne nne hivi mwenzaku ananiitia chumbani kuona hivyo nikamuaga h/girl naenda dukani sikurudi asubui amenipa lift kituoni kalalamika sana kwanini jana sikumuaga
castle lite zaidi ya mbili pub halafu pale NNE NNE, so kama SABA hivi, dogo acha kutudanganya wewe UMESHAMEGAAA BANA tena NGINJANGINJA ila nakushauri baada ya miezi mitatu kapime kwa sasa achana nae kabsa.....
yeye ndio ananipa lift yupo bank hata sijamuuliza na jioni kaniambia twende sehemu kuna party....hivi nataka nitoke kibaruani niende home coz amesema saa moja tunaenda kunasherehe ya kumuaga nduguye anaolewa..
Huna lolote na wewe uko interested na huyo mama, mawasiliano yote hayo na ukaenda hadi kwake !
We endelea na mipango yako au unampango wa kumchuna maana vijana wa siku hizi mh, wanaume kama mabinti!
Wewe unampa lift au yeye anakupa lift?