JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Taarifa za uzushi zinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa kuenea kwa maambukizi kwasababu jamii inaweza kuwa imepotoshwa kuhusu njia za kujikinga
Kuongeza taharuki na sintofahamu katika jamii. Hofu itakayotengenezwa na taharuki hiyo inaweza kuondoa utulivu wa watu
Madhara katika afya za watu. Baadhi ya taarifa zinahusisha watu kutumia dawa mbalimbali ambazo zinaweza kuleta madhara kwa afya.
Uzushi unachangia kuongeza vikwazo katika jitihada za kupambana na maambukizi ya #CoronaVirus
Watu wenye uhitaji wa msaada kuhusu #COVID19 wanaweza kukosa msaada kutokana na taarifa za uongo zilizowafikia
Jamii Forums inakuhimiza kuepuka kutunga au kusambaza taarifa ambayo huna uhakika nayo au haijatoka kwenye vyanzo vya kuaminika
=======
Kuongeza taharuki na sintofahamu katika jamii. Hofu itakayotengenezwa na taharuki hiyo inaweza kuondoa utulivu wa watu
Madhara katika afya za watu. Baadhi ya taarifa zinahusisha watu kutumia dawa mbalimbali ambazo zinaweza kuleta madhara kwa afya.
Uzushi unachangia kuongeza vikwazo katika jitihada za kupambana na maambukizi ya #CoronaVirus
Watu wenye uhitaji wa msaada kuhusu #COVID19 wanaweza kukosa msaada kutokana na taarifa za uongo zilizowafikia
Jamii Forums inakuhimiza kuepuka kutunga au kusambaza taarifa ambayo huna uhakika nayo au haijatoka kwenye vyanzo vya kuaminika
=======