Jayspeed
Senior Member
- Feb 23, 2014
- 156
- 169
Jifunze kushikilia vitu, watu au hata maslahi unayoyapenda kwa umakini zaidi sababu sio kuwa unavipoteza kwa kukosa umakini hapana umakini unao sana ila hukumbuki ulianzia wapi umakini wako kabla hujasahau.
Ngoja nikukumbushe...umakini wako ulianza pale ulipokuwa unatumwa chupa ya chai na mama yako na wala huangushi chupa hiyo kwa kuhofia vifinyo au fimbo zisizo na idadi..
Hapo ndipo umakini wako ulipoanzia sema unasahau hilo jikumbushe na tathimini sana hilo kisha shikilia kila unachokipenda kwa umakini kama chupa ya chai uliyotumuwa na mama kwani ukikipoteza au kukiangusha maumivu yake ni sawa ya zile fimbo za mama au vifinyo au hata maneno yake yanayoumiza moyo ambayo wengi husema bora fimbo tu kuliko maneno
Ngoja nikukumbushe...umakini wako ulianza pale ulipokuwa unatumwa chupa ya chai na mama yako na wala huangushi chupa hiyo kwa kuhofia vifinyo au fimbo zisizo na idadi..
Hapo ndipo umakini wako ulipoanzia sema unasahau hilo jikumbushe na tathimini sana hilo kisha shikilia kila unachokipenda kwa umakini kama chupa ya chai uliyotumuwa na mama kwani ukikipoteza au kukiangusha maumivu yake ni sawa ya zile fimbo za mama au vifinyo au hata maneno yake yanayoumiza moyo ambayo wengi husema bora fimbo tu kuliko maneno