mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,727
Kila ninapona picha za jiji la Mza na jinsi vilima vyake vilivyovamiwa na makazi, najawa na hofu. Hofu ya kuupoteza hilo jiji, ikitokea hayo mawe yaliyo kwenye hivyo vilima, yatakapoporomoka kwa sababu za kiolojia au shughuli za binadamu zinazoendelea bila kuthibitiwa!
Je, ni wataalamu wa mipango miji au Mamlaka yenyewe ya jiji, ambayo iko usingizini! Kilichotokea Kagera, tunaomba kisitokee Jiji la Mwanza.
Ni wazo tu.
Je, ni wataalamu wa mipango miji au Mamlaka yenyewe ya jiji, ambayo iko usingizini! Kilichotokea Kagera, tunaomba kisitokee Jiji la Mwanza.
Ni wazo tu.