GrEaT tHinkErs,
Naomba tuzungukie majiji ya Afrika mashariki na tutuoe sifa kwa kila Jiji nimeyaorodhesha hapa chini.
Tanzania
kenya
- DAR ES SALAAM
- MWANZA
- TANGA
- MBEYA
- ARUSHA
Uganda
- NAIROBI
- MOMBASA
- KISUMU
- NAKURU
Rwanda
- KAMPALA
- JINJA
- ENTEBE
Burundi
- KIGALI
- BUJUMBURA
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.
Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.
Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.
GrEaT tHinkErs,
Naomba tuzungukie majiji ya Afrika mashariki na tutuoe sifa kwa kila Jiji nimeyaorodhesha hapa chini.
Tanzania
kenya
- DAR ES SALAAM
- MWANZA
- TANGA
- MBEYA
- ARUSHA
Uganda
- NAIROBI
- MOMBASA
- KISUMU
- NAKURU
Rwanda
- KAMPALA
- JINJA
- ENTEBE
Burundi
- KIGALI
- BUJUMBURA
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
Ila wakaazi wa huko hawajui sehemu ya kutupa taka zao.....Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
Kweli kabisa, kwani kuna hata teksi za baiskeli...Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
siku matejoo kumekuwa safi?mie napenda Arusha ..ajili nikusafi sana....
QUOTE=afrodenzi;mie napenda Arusha ..ajili nikusafi sana....
Arusha,uwizi wa mali na magari, ujambazi na mauaji nje nje! Watu wana roho mbaya sana Arusha.
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.
Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;
1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.
Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.
Shomari wewe ni meya wa Jiji la Mwanza nini? Nafikiri ungetoa comparative analysis ndo ingekuwa safi, kuliko kuelezea Jiji moja tu (pengine maisha yako yote upo hapo hapo Mwanza tu) kwa hiyo kila kilichopo hapo ndo 'best practice' kwako!!
Comparative analysis ndo ingetusaidia zaidi kuamua Jiji lipi ni bora kuliko majiji mengine na kwa vigezo vipi!