Jiji bora afrika mashariki.

spencer

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
3,599
3,220
GrEaT tHinkErs,
Naomba tuzungukie majiji ya Afrika mashariki na tutuoe sifa kwa kila Jiji nimeyaorodhesha hapa chini.
Tanzania
  • DAR ES SALAAM
  • MWANZA
  • TANGA
  • MBEYA
  • ARUSHA
kenya
  • NAIROBI
  • MOMBASA
  • KISUMU
  • NAKURU
Uganda
  • KAMPALA
  • JINJA
  • ENTEBE
Rwanda
  • KIGALI
Burundi
  • BUJUMBURA
 
Karibuni,
zungumzia kwa nini jiji hilo kwako ni bora
 
ungefanya Africa nzima. Hayo ni machache na kwa kuwa ni nchi maskini, almost yote yanalingana kiubora! Vilevile wengi hawajafika hayo majiji! Pouwa.
 
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.


Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.
 
GrEaT tHinkErs,
Naomba tuzungukie majiji ya Afrika mashariki na tutuoe sifa kwa kila Jiji nimeyaorodhesha hapa chini.

Tanzania
  • DAR ES SALAAM
  • MWANZA
  • TANGA
  • MBEYA
  • ARUSHA
kenya
  • NAIROBI
  • MOMBASA
  • KISUMU
  • NAKURU
Uganda
  • KAMPALA
  • JINJA
  • ENTEBE
Rwanda
  • KIGALI
Burundi
  • BUJUMBURA

ifakara
 
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.


Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.


Shomari wewe ni meya wa Jiji la Mwanza nini? Nafikiri ungetoa comparative analysis ndo ingekuwa safi, kuliko kuelezea Jiji moja tu (pengine maisha yako yote upo hapo hapo Mwanza tu) kwa hiyo kila kilichopo hapo ndo 'best practice' kwako!!

Comparative analysis ndo ingetusaidia zaidi kuamua Jiji lipi ni bora kuliko majiji mengine na kwa vigezo vipi!
 
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.


Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.

Umechukua maneno kutoka mdomoni mwangu!
 
GrEaT tHinkErs,
Naomba tuzungukie majiji ya Afrika mashariki na tutuoe sifa kwa kila Jiji nimeyaorodhesha hapa chini.
Tanzania
  • DAR ES SALAAM
  • MWANZA
  • TANGA
  • MBEYA
  • ARUSHA
kenya
  • NAIROBI
  • MOMBASA
  • KISUMU
  • NAKURU
Uganda
  • KAMPALA
  • JINJA
  • ENTEBE
Rwanda
  • KIGALI
Burundi
  • BUJUMBURA


Jiji bora kwa vigezo vipi? Umasikini, uchafu, ghorofa, slums, miundo mbinu, ustaarabu, au nini? Kama unaongelea Wizi Tanzania tayari tuna rais Mwizi kuna swala jingine?
 
Shomari Mkuu,
Tembea uone... haa eti mwanza. what is there bana?

I think Nairobi is the best of all mentioned above coz i hve been almost 80% of the list.
 
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,

Ila Usiku ni balaa...

Marin%20kuvat%20046.JPG

Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
Ila wakaazi wa huko hawajui sehemu ya kutupa taka zao.....

chee%20090.jpg


Venlan%20kuvat%20273.JPG

Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
Kweli kabisa, kwani kuna hata teksi za baiskeli...
Vilhelmiinan%20kuvat%20172.JPG
 
QUOTE=afrodenzi;mie napenda Arusha ..ajili nikusafi sana....

Arusha,uwizi wa mali na magari, ujambazi na mauaji nje nje! Watu wana roho mbaya sana Arusha.
 
QUOTE=afrodenzi;mie napenda Arusha ..ajili nikusafi sana....

Arusha,uwizi wa mali na magari, ujambazi na mauaji nje nje! Watu wana roho mbaya sana Arusha.

uwizi ujambazi huo upo kila mahalia Tanzania, Kenya, Uganda..
mmmhh hata useme nini mi bado napenda Arusha...
we huoni nairobi kulivyokuwa hovyo..
kwa kila kitu ulichotaja hapo juu kinapatikana nairobi na zaidi...
 
Ungeingiza manispaa ya Moshi Mjini. Nasikia inatajwa kuwa mji msafi kuliko yote Tanzania.
 
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.


Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.

Kwa Taarifa tu, Manispaa ya Moshi ni moja ya miji 5 bora barani Afrika (Rejea taarifa ya ubora wa miji Afrika).

Majibu ya baadhi ya hoja zako mkubwa
1. Kutokana na kutokuwa na miundo mbinu mizuri Ziwa Victoria linachafuliwa kwa kiwango kikubwa na maji taka toka Mwanza. Utafiti uliofanywa na taasisi za Afya umebainisha kuwa wakazi wa mwanza wanaoishi vilimani hawana vyoo.
2. Reli ipi mkubwa, maana hakuna treni tena, wawekezaji wa kihindi wameng'oa injini na wameleta viberenge!
3. Kuna magari matatu ya zimamoto na inachukua nusu saa hadi saa nzima kufika kwenye tukio kama yatakuwa na maji. Hakuna vituo vya kujazia maji hadi gari zirudi makao makuu. Huduma za uokoaji ni hafifu na kama unazungumzia uoakoaji basi ni kwa vigezo vya Tanzania kwa maana ya kuwa havikidhi hata robo ya viwango vya kimataifa. Mfanyakazi wa Zimamoto amevaa kandambili au raba, halafu unasema huduma za zimamoto!
4. Kama wingi wa samaki unaleta ubora, vipi mombasa, Zanzibar, Tanga, Mtwara n.k!
5. Ni Wakrimu! Huko si ndiko mauaji ya vikongwe na Albino yalipoanzia na yanaendelea, una maana gani kwa neno Ukarimu mkuu.
6. Makao makuu ya A.Mashariki, haikujulikana kama Rwanda na Burundi zingejiunga nyakati hizo. It is too late now.
 
Mwanza ndio jiji bora Afrika mashariki sababu;

1. Kuna hewa safi na hakuna uchafuzi mkubwa wa mazingira kama miji mingine ya A. mashariki
2. Miundo mbinu imekwenda na wakati hasa mfumo wa Maji safi na maji taka,
3. hakuna tatizo la usafirishaji, iwe ni kwa njia ya Maji, Anga, Reli, na Nchi kavu
4. hakuna msongamano mkubwa wa watu na magari kama ilivyo mf. Dar es salaam.
5.Huduma za jamii zinapatikana kwa urahisi, kwa upande wa afya, kuna Hospitali kama Bugando n.k, katika hospitali hii kuna wataalamu waliobobea katika masuala ya upasuaji moyo. n.k
6. Huduma za zimamoto zinapatikana vya kutosha.
7.Mwanza ni sehemu ambayo watu wa A. mashariki hukutana na kufanya biashara, Uvuvi, madini n.k
8.Usafiri wa maji unaunganisha karibu nchi zote za A. mashariki
9.Mwanza kuna sehemu nyingi za kutalii na kutembelea, kuna kumbi za kutosha za starehe
10. Mandhari ya jiji hili ni nzuri, kuna bustani za wazi kwa ajili ya wakazi pamoja na sehemu unazoweza kujumuika na familia yako.
11. Samaki ni wengi na wenye bei nafuu,
12. wakazi wa Mwanza ni wachapakazi na wakarimu.


Ushauri wa bure; Ningependekeza Mwanza iwe makao makuu ya Afrika mashariki kabisa badala ya jiji bora tu.

Kwa upande wangu, Umepatia ndugu. No comments!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Shomari wewe ni meya wa Jiji la Mwanza nini? Nafikiri ungetoa comparative analysis ndo ingekuwa safi, kuliko kuelezea Jiji moja tu (pengine maisha yako yote upo hapo hapo Mwanza tu) kwa hiyo kila kilichopo hapo ndo 'best practice' kwako!!

Comparative analysis ndo ingetusaidia zaidi kuamua Jiji lipi ni bora kuliko majiji mengine na kwa vigezo vipi!

Unataka nini zaidi wakati kila kitu amekiweka wazi!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom