Uchunguzi hadi uwepo eneo la tukio?usiwe unaleta hoja za vijeweni .hakuna mfanyakazi yoyote wa Airline anaweza kukuzuia kundelea na Safari
baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
ina maana na wewe ulikuwepo hapo Airport Mucat?
Ubaguzi ni nature Kwa jamii yeyeto zisizofananaTangiapo hawa wenzetu wawe whites, browns or whatever wanamnyanyapaa sana mtu mweusi. Sisi tulitakiwa tujipende sisi kwa sisi, lakini ni kinyume chake . Sisi hatujipendi sisi kwa sisi badala yake tunawahusudu hao watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sisi tunawakumbatia sana ?!. Au ni kwa sababu ya umasikini wetu.
🤣🤣🤣🤣Wewe unatafuta nahau kwa Oman.Mimi abadani Sipandi Omanair yaa nini bana kushindishwa na kahawa chungu na Kaswida mpaka Bangkok
Kwa hiyo walimwambia tu hupandi?hapi kama sio viza zake ,passportt yapo makaratas hajakaa sawa na shirika la ndege litakalo mbeba linaqajibika kumrudisha ikiwa huko mbele yasafari akikataluwa entry.Napenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha
Hivi unajua kuwa pale muscat wapo wahudumu wengi ambao kiasili ni watanzania? Mm hadithi yako sijaikubali mpaka uweke post ya katazo maana lazima kuna officer incharge aliyetoa zuio tena litakuwa recorded kimaandishiKwa sababu haijatokea kwako hawa jamaaa ni wabaguzi sana,mtu mweusi akipita airport yao hata kama una passport ya USA wanakusumbua
Nina ushahidi salimia 100 siku hao watz wanazuiwa kubadilisha Ndege kwenda London nilikuwepo hapo airport Gate A6Hivi unajua kuwa pale muscat wapo wahudumu wengi ambao kiasili ni watanzania? Mm hadithi yako sijaikubali mpaka uweke post ya katazo maana lazima kuna officer incharge aliyetoa zuio tena litakuwa recorded kimaandishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndege yao inakuja kufanya nini huku?umeshwahi kujiuliza hilo?mm hii hoja nitaipinga mpka siku ya ufalme ujao!Watu wengi mnachangia kiushabiki Mimi mwenyewe nilishuhudia kijana wa kitanzania walimrudishia Dar bila sababu za msingi wakati ana visa,barua ya mwaliko,amelipia hotel,Oman air ni washenzi Sana hiyo tabia ya kuwa warudisha abiria hapo mascut ni ya muda mrefu sema wa Tz wengi kifanyiwa vitendo kama hivyo wanakaa kimya
Kama una mtu Zanzibar muulize hii Ndege hawapandi Kwa sababu ya usumbufu especially ukiwa unaelekea ulaya, Canada na USASasa ndege yao inakuja kufanya nini huku?umeshwahi kujiuliza hilo?mm hii hoja nitaipinga mpka siku ya ufalme ujao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuuTangiapo hawa wenzetu wawe whites, browns or whatever wanamnyanyapaa sana mtu mweusi. Sisi tulitakiwa tujipende sisi kwa sisi, lakini ni kinyume chake . Sisi hatujipendi sisi kwa sisi badala yake tunawahusudu hao watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda haya mambo yakawepo aisee. Nimebahatika kupanda Turkish Airways ...Napenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha
Usiwe mbishi watu wengi wamezuiwa kuingia kwenye Ndege ya Oman air kwenda others destination na ushahidi upo,
Hizi saa nyingine huwa ni hisia zenu tu, ubaguzi upo kweli ila suala la kuonesha docs halihusiani na rangi ya ngozi kwa sababu mimi nimepita hapo Schiphol mara nyingi sana na mara zote wote tunakaguliwa, docs, haijalishi rangi za wahusika.Unapokuwa unaenda Ulaya/marekani kuna umuhimu sana wa kuchugua shirika la ndege na kama kuna connecting flights chagua viwanja visivyokuwa na mlolongo mrefu wa inspection...mfano Schiphol utahojiwa na kuonesha docs ukiwa ni mweusi ...wakati weupe wanapita tu kwa kupewa tabasamu.
Najivunia kuwa mweusi.
Iko siku tutaheshimiana.
Iternstional airline haina ubaguziNapenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu alipofika Muscat walimzuia kupakia Ndege ya kwenda London,
Amejaribu kuulizia sababu za yeye kuzuiwa,hawasemi,baada ya uchungaji tukagundua waliomzuia asisafiri sio immigration officer Bali ni watumishi wa Oman air,watu wengi sana wanazuiwa especially black people
Kama una ndugu au jamaa asipande hii Ndege watamrudisha