SAM BILGATE
Member
- Feb 11, 2013
- 28
- 6
Wana jamvi habarini za mihangaiko ya kila siku!
Napenda kuwatahadharisha wale waliofanya aptitude test ya Mwanza Community Bank (MCB) kwa ajili ya kupata watu 20 watakaoenda kupata training, hawa jamaa ni MATAPELI na nikiwa kama mmojawapo wa waliofanya ile test, nimetumiwa msg leo asubuhi kutoka kwa mtu anaejiita Mwesiga Pius simu no. 0764171699 kama inavyoonekana:
''Za asubuhi/wiki hii/ kesho naanza sorting ya aptitude test zenu, nimeona test sheet yako, tusaidiane kitu, Unaweza kunitumia laki 3 kufikia kesho,then nakupitisha kuingia kwa orodha bila wasiwasi,then utanipa laki 1nyingine ukiwa training bt hili ni suala langu n WW tu, Unasemaje? Mwesiga Pius.
Napenda kuwatahadharisha wale waliofanya aptitude test ya Mwanza Community Bank (MCB) kwa ajili ya kupata watu 20 watakaoenda kupata training, hawa jamaa ni MATAPELI na nikiwa kama mmojawapo wa waliofanya ile test, nimetumiwa msg leo asubuhi kutoka kwa mtu anaejiita Mwesiga Pius simu no. 0764171699 kama inavyoonekana:
''Za asubuhi/wiki hii/ kesho naanza sorting ya aptitude test zenu, nimeona test sheet yako, tusaidiane kitu, Unaweza kunitumia laki 3 kufikia kesho,then nakupitisha kuingia kwa orodha bila wasiwasi,then utanipa laki 1nyingine ukiwa training bt hili ni suala langu n WW tu, Unasemaje? Mwesiga Pius.