Jihadharini na aina hii ya utapeli (true story)

Jihadharini na aina hii ya utapeli (true story)

Asante mkuu kwa somo zuri, asikiaye na asikie, Really there is something to learn.
 
Hizi ni stori mbili tofauti ambazo zimewatokea watu wangu wa karibu.(Za Ukweli Kabisa)
Mkuu hizi simulizi ni za kweli kabisa na zinatokea japo kuna wengine hawataamini. Kipindi cha nyuma kuna baba mmoja alihojiwa na ITV yeye alikuwa ameuza kila kitu... nyumba viwanja nk. Alisema walikuwa wanampeleka sijui mapori ya Kinyerezi sikumbuki vizuri. Na ni zamani sana mwaka wa 2002 hivi. Sasa kujibu maswali yako:
1: Mapango Tanzania yako mengi sana na hawa jamaa ni matapeli hivyo sio kazi kuyajua
2. Hao wazee na sauti mapangoni ni watu wa kawaida wanakuwepo mle ndani na kujivalisha mavitu ya ajabu ajabu. Sasa ukichanganya na giza na woga wa mlengwa basi inakuwa vigumu kugundua.
3. Hizo fedha zinakuwa zimefungwa kwa kuchanganywa na makaratasi. Wanatumia utaalamu wa kitabpeli kufunga malundo ya makaratasi na juu wanaweka noti halisi
 
Mkuu hizi simulizi ni za kweli kabisa na zinatokea japo kuna wengine hawataamini. Kipindi cha nyuma kuna baba mmoja alihojiwa na ITV yeye alikuwa ameuza kila kitu... nyumba viwanja nk. Alisema walikuwa wanampeleka sijui mapori ya Kinyerezi sikumbuki vizuri. Na ni zamani sana mwaka wa 2002 hivi. Sasa kujibu maswali yako:
1: Mapango Tanzania yako mengi sana na hawa jamaa ni matapeli hivyo sio kazi kuyajua
2. Hao wazee na sauti mapangoni ni watu wa kawaida wanakuwepo mle ndani na kujivalisha mavitu ya ajabu ajabu. Sasa ukichanganya na giza na woga wa mlengwa basi inakuwa vigumu kugundua.
3. Hizo fedha zinakuwa zimefungwa kwa kuchanganywa na makaratasi. Wanatumia utaalamu wa kitabpeli kufunga malundo ya makaratasi na juu wanaweka noti halisi

Nashukuru kwa kutujuza...kumbe wengi wameshalizwa..kumbe hii kitu ipo tangu 2002?
 
Mwambie azungumze na mwanasheria apata opinions za kisheria namna ya kurudishiwa fedha zake na yule shetani.

Usimkatishe tamaa kwamba hana ushahidi wa kujitosheleza kwa kuwa wwe si hakimu na kuna aina nyingi sana za ushahidi.

Tatu aasiogope kusema kwa sababu hatakufa lakini ASIRUDIE KUTAFUTA UZIMA KWA SHETANI. SHETANI KAZI YAKE NI KUCHINJA KUIBA NA KUHARIBU. HAKUNA KAZI YA SHETANI ZAIDI YA HIZI . KILA AJIPELKAYE LAZIMA AANGUKIE KATIKA MOJA YA MAAFA HAYA.

POLENI SANA.
 
Katika Biblia kuna mstari umeandikwa kuwa watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa, ni kweli na kuna kesi kadhaa mahakamani juu ya watu hawa. Mmoja aliwadanganya watu kuwa atamfufua ndugu yao wakaishia kuuza mali kibao ikiwa ni pamoja na nyumba. Na sasa kuna matapeli hawa wanaojifanya wanatibu kila ugonjwa yaani ni shida, wanapiga miela wanaishia
 
Hawa ni matapeli au majambazi, hii hali sio ya kuikalia kimya, wengi wanaumizwa na hawa jamaa wa dizaini hii.
 
Hawa ni matapeli au majambazi, hii hali sio ya kuikalia kimya, wengi wanaumizwa na hawa jamaa wa dizaini hii.

Ni kweli kabisa..ndiyo maana nimeamua kuweka mada hii hapa ili kuwapa watu tahadhari na pia kuona kama kuna njia ya kuweza kutokomeza utapeli wa aina hii
 
Jamani tusipende vya bure. Hizo pesa zote ni zaidi ya mtaji
au yeye alikuwa ana taka mambo yaende vizuri namna gani?Maana kupata tu hiyo mil 20 ni mambo safi kwa kiasi fulani..

huyo alitaka amzidi mr mo kwa siku moja.
 
Hii kitu ni kweli yaani sijui huwa wanapumbazwa ama ni vipi!
Manake Mtu anatajiwa pesa Fulani yeye anatoa tu wala hajifikirii.
Kuna jamaa aliuza mpaka jiko
Akaenda mpaka showroom kuchagua gari.
 
Kwa hakika hapo hakuna uchawi wala jini wala pesa za kweli.
Sehemu kubwa ya hizo pesa itakua pesa za bandia,aidha wizi huu ni wa zamani sana na waathirika wakubwa ni watu 'Wajanja' na hata wasomi! Kila kitu pale bi akili tu , na tamaa Ya mtu ndiyo inayosaidia kuibiwa kiulaini.
Watu wameuza mali zao muhimu na kuwakabidhi hawa matepeli.
Dalili zinaonyesha kua wanaigeria wanaweza hamia hapa nchini kwa wingi kufuatia uwekezaji mkubwa wa Dangote kwenye siment , hali itakayooimarisha utapeli unaofanyika na kuanzisha namna mpya ya utapeli!
Watanzania wengi huamini kila kitu kama mtoto au ze ze t a fulani hivi hivyo kwa kua akili ya kuambiwa hatuchangani na ya kwetu , tutaendelea kua duka zuri la matapeli hadi hapo tutakapo amini kazi kwa juhudi na maarifa ndio msingi PEKEE wa utajiri
 
Hii hali ilinikuta mwaka 2002 but mshikaji wangu aliniokoa waliishia kula kama laki saba mm zilikuwa milion 500 zimejaa kwenye begi na mm walinipa 20000 ila story kidogo iko tofauti maana ktk masharti ilikuwa niwape laki tano kutoka benk wachanganye na dawa pamoja na kuguli la mjerumani ili itoke pesa ni story ndefu nitaileta kama wadau watahitaji kuisikia
 
Mmh ..hatari, mi nadhani kuna dawa wanatumia.
Mtu huwez kuwa mjinga kiasi kile
 
Hii hali ilinikuta mwaka 2002 but mshikaji wangu aliniokoa waliishia kula kama laki saba mm zilikuwa milion 500 zimejaa kwenye begi na mm walinipa 20000 ila story kidogo iko tofauti maana ktk masharti ilikuwa niwape laki tano kutoka benk wachanganye na dawa pamoja na kuguli la mjerumani ili itoke pesa ni story ndefu nitaileta kama wadau watahitaji kuisikia

aisee..pole sana kaka..si mbaya ukaileta..lengo ni kuweza kuwahabarisha watanzania wenzetu ili wasijeingia mikononi mwa haya matapeli
 
Hii hali ilinikuta mwaka 2002 but mshikaji wangu aliniokoa waliishia kula kama laki saba mm zilikuwa milion 500 zimejaa kwenye begi na mm walinipa 20000 ila story kidogo iko tofauti maana ktk masharti ilikuwa niwape laki tano kutoka benk wachanganye na dawa pamoja na kuguli la mjerumani ili itoke pesa ni story ndefu nitaileta kama wadau watahitaji kuisikia
Mkuu wala usiwe na shaka. Ni wengi wanaotaka kukusikiliza kwani ni wengi hulizwa kwa mtindo huu. Hakuna msomi au padri au shehe. Nakuambia huyo baba niliyemuona ITV mwaka 2002 alikuwa mtu smart sana na anaonekana mjanja lakini alivyokwapuliwa kila kitu kila mtu alishangaa. Hata mimi naamini hakuna dawa yoyote wanayotumia bali wanakuteka kimawazo na zaidi wanakuaminisha kuwa utakuwa tajiri! Karibu mkuu ukipata muda tuandikie..
 
mganga wa kweli nilimkuta malawi wakati niko secondary kipindi hicho niliibiwa hela za ada,alinitajia hadi nyumba niliyokuwa nakaa ntakuta kuku kataga yai la 6 pia jina langu alilijua kabla sijamuambia kifupi alinisave tena buree bila hela na ana wateja wengi hachukui hela bila kuleta mrejesho
 
Back
Top Bottom