Jifunze namna ukiachwa uonekana umeacha....!!!

Jifunze namna ukiachwa uonekana umeacha....!!!

makaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
318
Reaction score
376
Hii ni fursa nyingine kujuzana mawili matatu kuhusu mahusiano......ni ukweli kwamba ukiachwa kwenye mahusiano inauma sana, kuliko kuacha. Sasa zifuatazo ni "tips" za kufanya pindi unapoachwa na mpenzi wako ili iwe kama umeacha, hii itakupinguzia maumivu pia!!

1 Jiridhishe kama umeachwa
Apa unaongea nae mtu wako kama atakuruhusu, kama hajataka maongezi na wew potezea mara moja....na ndio iwe mwisho kumtafuta.

2 Epuka kuwa wa kwanza kuwajulisha watu kwamba uhusiano wenu umeisha.
Pls ingawa utakuwa unaumia lakini jikaze epuka kuwa wa kwanza kuwajulisha marafiki zenu waliokuwa wanajua uhusiano wenu.

3 Epuka kupost sana mitandaoni unapoachwa.
Watu wanashindwa ku hold tight" hivyo kukimbilia mtandaoni kupost , hii itaku expose sana kwa watu kwamba unapitia wakati mgumu., Ko epuka hili ili na mtu huyo asijue jins una feel baada ya kukuacha.

4 Siku mkikutana onesha bado una furaha na msalimie pia..!!!
Hi itakupa confidence sana, baada ya kukuona bado upo Happy automatically atataka mzoeane ....ukigundua ivo tu anza kumkaushia.

5 Baada ya muda kupita wajulishe washikaji zako.
Faida ya kujipa muda kutafakari, utawajulisha marafiki zako ukiwa umerelax bila hisia Kali!!!!



NB...kuachwa kunauma hasa ukiachwa bila kutegemea Na mtu uliyekuwa unampenda lakin sababu life lazima lisonge .....basi hizi tips husaidia
 
ila haibadil maana kama kuachwa umeachwa tuu...ukidanganya watu wasijue ni shauri yako itabaki inakuuma mwenyewe
 
ila haibadil maana kama kuachwa umeachwa tuu...ukidanganya watu wasijue ni shauri yako itabaki inakuuma mwenyewe
Kaka ang nimemsoma vzur hajaandika udanganye bali kamaanisha usiwaambie watu ukikaa kimya nan atajua kama umeachwa
 
Kuna watu bado mapenzi yanawaumiza mpaka Karne hii?
Mkuu mbona wengi tu..... labda Kama hujawai penda , ndio hutoumia lkn ukapenda alaf upigwe kibuti......aisee lazima ukae!!!!!
 
Hii point ya kwanza imekaa kimama mama mtoto wa kiume unapo potezewa nawe unatakiwa kupotezea kuli kitu mpaka Salam unakua kauzu zaidi ya sanam la posta au nyerere square
 
Ukiachwa, shukuru wenda mizimu imekuokoa katika mdomo wa mamba...
Halafu baada ya siku mbili tafuta mkali zaidi yake..mengine ni kupoteza muda tu wakati dunia ina vitu vingi vya kufanya
 
Mi sichukuliagi kuachwa bali ni kuachana tu maana hata mie ntakubali matokeo.
Kinachofuata nakupigia buyu la hatari, staki mazoea kabisa. Sasa kama ulibipu ndio utajua kilichomtoa kenge manyoya.

I love hard and hate hard as well. Mbaya zaidi i will hate you in the same degree of the love i had for you! Finally 😁😁😁 nimeku4get simple as that!
 
Basi atakuacha hapo….kisha anatumia energy nyingi kukuonyesha hufai mbele ya jamii...achana na mtu wako ujue tabia yake..ndio ujue ulikua una date na lifala limoja linajiona lina akili,...mxiewwwwwwwwwww..kwa nini kila mtu asishike zake mkiachana??? 😡
 
Anayeachwa ndiye anayeumia zaidi na anakuwa hajajiandaa kisaikolojia...na kama hatopata ushauri anaweza kujidhuru
 
1122188
 
Back
Top Bottom