engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
[h=2]Maana ya lugha[/h]Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zenye kubeba maana, zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani ili zitumike katika mawasiliano.
[h=3]ni sauti za nasibu kwa sababu:-[/h]
[h=3]ni sauti za nasibu kwa sababu:-[/h]
- Zilizuka tu bila makubaliano maalum ya jamii kwamba zilikuwepo na hakuna jamii iliyofanya kikao kukubaliana juu ya kuunda lugha na matumizi yake.
- Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kifungu sauti .Ndio maana kitu kimoja kilekile kinaweza kuitwa kwa maneno tofauti katika lugha tofauti
- lugha ndiyo nyezo kuu ya mawasiliano baina ya binadamu.
Binadamu hutumia lugha kukidhi mahitaji yake ya kila siku.
Baadhi ya matumizi ya lugha ni:
kupashana habari
kubadilisha mawazo
[h=2]MUUNDO WA LUGHA[/h]- Lugha hujengwa kwa maneno.
-Msingi wa maneno ni sauti moja moja
-Sauti hizo ambazo hujenga maneno huitwa vitamkwa
-Vitamkwa hivyo huwa katika mpangilio maalum unaolipatia neno maana.
MWENDELEZO WAKE SIKU IJAYO