Elezea kidgoHicho ni kingereza cha wasiosoma
Hyo syo njia sahih, hpna ila ni mbinu gani utatumia kuwafundisha watu wakuelewe kwa urahis na harak ns wakat huo watu hao ni watu wenye majukum meengi??? Na sio watot???mhh kazi ipo,nilitaka niyatapike ya rohoni but kwasababu umesema ni mbinu za mwalimu basi hatuna budi kuheshimu,
i wish you the all best of lucky on your program..
Mkuu nilikua naomba garama zako hata kwa pm
Ni muhitaji mno wa kujua lugha ya kiingereza. Pia naomba maelekezo ni namna gani ya mnafundusha na muda gani na malipo ni ya namna gani. Japo ki financial sipo vizuri lakini nina nia mno. Kila la heri
We hebu toka hapa! usituletee ujuwaji, si uanzishe darasa lako. Kilamtu na mbinu zake bhana.Huwezi kupata pronunciation sahihi kwa unavyofanya. Ukienda katika nchi za Asia na kingereza cha pronunciation za kiswahili wachache watakuwa wanakuelewa, kwa nchi zinasongea kingereza wengi watakuelewa.
We mjinga hata kiswahili hujui siwezi kubishana na wewe. Ujuwaji ndio nini sasa?We hebu toka hapa! usituletee ujuwaji, si uanzishe darasa lako. Kilamtu na mbinu zake bhana.
We mjinga hata kiswahili hujui siwezi kubishana na wewe. Ujuwaji ndio nini sasa?
Ujinga unaingiaje tena hapa dada yangu?Hii delivary report. Ujumbe umefika. Mjinga mwenyewe.
Aloo! Mie ni mumeoUjinga unaingiaje tena hapa dada yangu?
Acheni ngebe zenu.Hata wewe naona unahitaji upingwe brush ya English course, huwezi ukaweka phonetics za maneno ya kingereza kwa kiswahili ukiamini mwanafunzi atatamka neno hilo kwa ufasaha.