Unapendaje sasa wakiachana?eti Umependa kuona wameachana kah wewe sibure ni mchawi,tabia za kijinga na za kishenzi sana kuona watu mnapiga vigelegele kuona wawili hawa wameachana, ya kwenu yamewashinda kazi kufuatilia ya watu, mungu awasamehe hamjui mnalolitenda,