Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia baadhi ya wabunge wakati wakichangia mijadala mbalimbali wakiitaka Serikali iwaangalie kwa jicho la huruma.Baada ya kutafakari kwa muda namna hilo jicho la huruma linavyofanana, nafikiri wadau linafanana na hili hapa chini au mnasemaje?
acha mambo ya ajabu hili si jicho lahuruma ila ni la mahaba, we vipi unadhani serikali ina mahaba na wewe? Halafu hao wabunge ni vimeo hawaelewi wanachosema