Good press for JF no doubt, lakini.
JF ndiyo ilipiga picha?
Ninavyojua mimi attribution ya picha ni kwa mpigapicha au shirika lilomuajiri mpiga picha, sasa isije kuwa BBC wamekwapua picha online bila makubaliano na yeyote, wakaogopa kuiweka kwenye site yao bila ku attribute source, wakachagua njia rahisi kuweka nembo ya "JamiiForums"
BBC wamepata ruhusa kutumia picha? Mpigapicha nani?