JF UDAKU September Edition......

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,546
Wadau wa habari motomoto za Udaku leo tena gazeti lenu linakuja na vitu motomoto, Kwa hisani ya TANMO Bishanga na Elizabeth Dominic linashuka kama ifuatavyo.
1 zubedayo_mchuzi atajwa sakata la Westgate..... , Yadaiwa aliamua kujitoa muhanga... Kutoswa na Arabela kwatajwa kuwa ni kisa.......

2. Kilichompeleka mzee Mtambuzi Goma sasa hadharani, Mama Ngina aeleza kila kitu, dada yake Chimbuvu anaeishi Bukavu atajwa kuwa ndo chanzo, Benzi aliloenda nalo Mtambuzi labaki hukohuko na Arejea kwa kudandia malori ya UN. Mwenyewe ashindwa kuelezea abaki akitamka "Mapenzi upofu",

3.Sakata la kina Masogange mengi yaibuka, Yasemekana Melisa ni member wa Chit chat..., ID ya cacico yatajwa, Yasemekana zile ofa alizokuwa akimwaga pale Leo tupo hapa ni matunda ya "upunda". Mwenyewe akana na kutaja vyanzo vyake halali vya mapato.

4 gfsonwin uso kwa uso na Mwakyembe, atajwa kwenye urasimu bandarini, Kampuni tatu "hewa" zaorodheshwa, Bishanga nae katika hatihati.

5. Erickb52 hali mbaya, aonekana Muhimbili kitengo cha "Psychiatry" mkewe Chocs alonga, adai walienda kwa vipimo vya kawaida tu. Wachunguzi wa mambo wadadisi, UENYEKITI chit chat watajwa.

6. Katika kile kinachoashiria kutokuwa mwaminifu katika mahusiano, DEMBA anaswa kona mbaya. Apigwa picha bila kujua, Zatumwa kwa Kaizer kupitia Whatsapp, Yeye asema haoni cha ajabu.

7. ODM babu Asprin KWIIISHA habari yake..Yasemekana nguvu za TEMEKE sasa ni tia maji tia maji... Yadaiwa ndo kisa cha kuchezewa sharubu na vibinti. Adaiwa hataki kabisa kuskia neno "UKAGUZI" Mchakato wa kumtangaza "mstaafu" kuanza mwezi ujao, Nani atamrithi bado kitendawili....
8. Baada ya Operesheni Kimbunga KakaKiiza apotea Jukwaani, kadhia ya uhamiaji haramu yamtafuna, Mwita Maranya nae aumbuka, yadaiwa alipoambiwa aimbe wimbo wa Taifa yeye akaimba "YAHAYA UNAISHI WAPI!???" kupandishwa kizimbani ijumaa

10. Samantha a.k.a white widow aliyeongoza magaidi Westgate Mall sasa asakwa chit chat.. Id ya snowhite sasa chini ya uchunguzi mkali.... nduguze wachanganyikiwa, gfsonwin naye atajwa..
Tuonane toleo lijalo..
Baba V . Independent correspondent..
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaha...na bado, nasubiri gossip nyingine
Erickb52 wangu nakupenda sana.
 
Last edited by a moderator:
kwahiyo babu Asprin hali ni tete kwenye shamba lake la mihogo!!!!
 
Last edited by a moderator:
Aisee.... DEMBA huu ni udaku eti? Tatizo picha...au wamezi photoshop?...
Baba V niaje mwenyekiti

Ni shwari chalii angu, hizo picha wamenifowadia hata mimi, nimeshindwa kuamini visigino vyangu aisee...!!
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • Mjasiriamwili.jpg
    25.2 KB · Views: 53
Last edited by a moderator:
kwahiyo babu Asprin hali ni tete kwenye shamba lake la mihogo!!!!

Yaani kwisha habari yake, sio Asprin yule wa zamani ambae alikuwa akiamua kufanya ukaguzi hatoki mtu.. Nakumbuka hii ilikuwa na Nivea alipogoma kukaguliwa, yakawa haya...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…