JF special thread kwaajili ya Facts

Katika karne ya 16 na 17 baadhi ya watu katika nchi za ulaya waliamini kula mifupa ya binadamu, damu pamoja na mafuta ya binadamu kunasaidia kuponya magonjwa Fulani, kwahiyo walikuwa wanatabia ya kufukua makaburi na kuiba maiti na pia kuiba zile egypt mummies (maiti za kale zilizo kaushwa)
 
Hata sahi wako! 🀣... Undercover lakini!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…