Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Kama mjuavyo humu jamvini kuna watu tunawajua kuwa ni couple.Wengi wao ni kapo za kimtandaotandao.Ila mjue kuna wengine huanzia flirting,then PM,then skype kama ipo,then namba za simu zikianza na sms,then makutano mfaranyaki ,then kifo cha mende na mwisho kwa wengine (kama waliowahi toa ushuhuda humu ndoa).
Kwa sababu njema kabisa siku ya leo naomba iwe special kwa jf kapos ambazo zimepiga hatua angalao kufikia hatua ya kumegana.
Bishanga nitataja moja kisha na wewe endelea kumwaga razi.
Naanza: Asprin na Kongosho
ps:msiogope name calling mamodi nshawakatia kitu kidogo.
Kwa sababu njema kabisa siku ya leo naomba iwe special kwa jf kapos ambazo zimepiga hatua angalao kufikia hatua ya kumegana.
Bishanga nitataja moja kisha na wewe endelea kumwaga razi.
Naanza: Asprin na Kongosho
ps:msiogope name calling mamodi nshawakatia kitu kidogo.
Last edited by a moderator: