Karibu mkuu Zurri
Nimekaribia,niliwahi kuambiwa hivi "Kuweka wazi jambo amabalo liko wazi ni matumizi mabaya ya akili bali ni kuleta tatizo.
Nimechagua kusoma maoni ya wadau. Ila hata mimi humu kuna wanawake/mabinti kadhaa wananivutia sana,japo hawajui hilo ila salamu ziwafikie,japokuwa sijawahi kuwaona. Haya mambo yapo sana,ila umakini unatakiwa sana. Sisi wanaume madhaifu sana,yaani achilia mbali sababu nyingi nyingine katila hili,ila unakita kabisa ya kuwa binti ameweka avatar ya binti mrembo kabisa na unajua sio yeye,ila ile picha tu inakufanya uvutike na huyo binti,yaani aliyeweka hiyo avatar.