hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Lol" hapana hiyo ya kwangu mimi 'Jamaa ndiye alikuwa na mpango wa kando akambwaga bibie..Ghafla yale mahaba ya Jf yakawa zzzzzzzzz!!!!! (kimya) then jamaa aka change na Id... so sad- so kama kuna mtu mwingine ambaye wewe unamjua aliyepitia katika hali kama hiyo....basi ama kweli humu kuna mambo
Halafu ni kama bibie aliolewa na mwingine.