JF: Rankings, Reputations na Maswali Mengineyo..



Unadhani utakuwa ulipitiwa tuu mkuu n' kama ulivyoeleza hukuwa Na adhma ya kuidharaulisha rangi bt uliiandika katika kundi la watu wasiotoa ndo maana [IMAGE 26] Steve Dii aliyasema hayo



By the way umeelewa vizuri mkuu
 
Moderators itakuwa vizuri kama mtaweka utaratibu unaoweza kutumika katika kuchangia fedha hii forum kwa wale wadau walio ndani na nje ya TZ ili tuwe na Premium members wengi.
kwanini JF wasiuze hisa na wale wenye hisa ndio watambuliwe kama premium members
 
$2 ndio iwe red na kijani $30 zingine zifuate..
 
Hapo sasa Invisible kwa lugha isiyo rafiki waliokimbia umande na adhabu !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…