JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Nyerere ndio boss ila iyo picha katokea kama mtumishi.
Ni kumbukumbu nzuri....
 
KUMBUKA TULIPO TOKA Napa nakumbuka enzi hiyo nauli shs 150 tu lakini ikijaa unamuangalia konda alafu unamuonyesha kidole kimoja na anakuelewa anakwambia ingia kwa 100 unaingia unapinda mgongo HAPO ZIPO STESHEN POSTA
 

Attachments

  • FB_IMG_1715806590961.jpg
    59.4 KB · Views: 5
KUMBUKA TULIPO TOKA Napa nakumbuka enzi hiyo nauli shs 150 tu lakini ikijaa unamuangalia konda alafu unamuonyesha kidole kimoja na anakuelewa anakwambia ingia kwa 100 unaingia unapinda mgongo HAPO ZIPO STESHEN POSTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…