sawa king'asti sababu wewe ni mwanamke na umeongea hisia zenu naeza kukubali''lakin cjui kwann roho yangu inapata sononi na hili'unajua uko nyuma kabla bwana gari hajapatikana life was gud sana'tunatoka wote ucku'nowdays thngs change anapenda sana kutoka pekee'hili sikulisema'
Psychologically unaonekana hauko sawa na hata kama anafanya hivyo kwa nia njema kikubwa usijishushe kwake fanya kile ambacho ni sahihi na ukisimamie usiwe unabadilika na kujionyesha mnyonge mbele zake atakutesa sna so fanya maamuzi na usiogope kupoteza kitu... good luck
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.