@nailyne'kweli hapo ni kuzichanga tu upate la kwako'ila nafikiriaga na mm nije nifanye kama anavyofanya yeye hata tukiingia ndoani au nafanyaje'maana kuna wakati anakuwa anachoka kuendesha anataka nmuendesha roho inakuwa inasononi nikiwa naendesha'nashindwa kusema tu.
Wana JF naomba msaada wenu kwa hili'nipo kwenye mahusiano ya zaidi ya miaka2 sasa'mpnzi wangu yeye amfanikiwa zaidi yangu'ana gari,tatzo ambalo mi linanikwaza vtu vyake ananipa kwa masharti sana kiasi kwamba nahsi kama ananinyanyasa'sasa sijui nina wivu au ndio mapenzi'kwa mfano nikiwa naendesha gari yake yeye ndio mwelekeza njia japo mi naona'na sitakiwi kwenda na gari yake popote pale mpaka yeye awepo'inaniumiza hadi nafikiria kama nijitoe sababu nahsi kama yatakuwa manyanyaso tu kila siku nitafute wa level yangu'japo tulianza mahusiano hana kitu'.
@the BOSS" mzazi umeongea hapa ni kuachana na hilo gari'mapenzi yawepo tu lakin nisiguse vyake'nmekupata kaka'
@MASAKI"Mapenzi yapo 100% isipokuwa ile hali ya kunielekeza mpaka barabara nipite wapi'wakati mi ndio nlimfundisha kuendesha hilo'akili yangu nzuri inajua kama cna na lini nitapata au sitapata'hyo hainisumbui hata isipokuwa kwann huniamini!! nipo kabla hilo gari halijapatikana'
the BOSS" Kuna wadada huwa wanakuzidi kwa income mpaka huez fanya kitu cha kumgaramikia ataona kama unajiumiza japo wataka kujikamua kama mwanaume'cjajua tatzo'inaezekana ushamba au kipya kinyemi au unafundishwa maisha upambane kama mwanaume japo ckuizi ni tofauti inaezekana mwanamke akawa ananguvu kuliko wewe dume'
Wana JF naomba msaada wenu kwa hili'nipo kwenye mahusiano ya zaidi ya miaka2 sasa'mpnzi wangu yeye amfanikiwa zaidi yangu'ana gari,tatzo ambalo mi linanikwaza vtu vyake ananipa kwa masharti sana kiasi kwamba nahsi kama ananinyanyasa'sasa sijui nina wivu au ndio mapenzi'kwa mfano nikiwa naendesha gari yake yeye ndio mwelekeza njia japo mi naona'na sitakiwi kwenda na gari yake popote pale mpaka yeye awepo'inaniumiza hadi nafikiria kama nijitoe sababu nahsi kama yatakuwa manyanyaso tu kila siku nitafute wa level yangu'japo tulianza mahusiano hana kitu'.
take it from me
ukitaka akuheshimu
mpe pesa ya mafuta na ya matengenezo ya hilo gari
but usiliguse kabisa....jifanye kama hulioni hivi...
mpaka ukinunua lako.....lidharau hilo gari....for now....
@the BOSS" mzazi umeongea hapa ni kuachana na hilo gari'mapenzi yawepo tu lakin nisiguse vyake'nmekupata kaka'